• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Mkuu wa wilaya Mh. Edward Mpogolo akisisitiza umuhimu wa Kingatiba ya kichocho na minyoo tumbo ambayo itatolewa Tarehe. 01-02 Juni 2021

Posted on: May 27th, 2021

Kikao kazi cha uhabarisho na tathimini ya zoezi la ugawaji wa dawa za kichocho na minyoo ya tumbo kwa watoto wenye umri kuanzia miaka mitano (5) hadi kumi na nne (14) kufunguliwa na Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya Ndg. Edward Mpogolo.Kikao hicho kilihudhuriwa na Watendaji wa Halmashauri Idara ya Afya, na baadhi ya wakuu wa Idara na Vitengo.  Aidha alisisitiza kuwa zoezi hili lifanyike kwa kuzingatia taratibu za Afya ikiwemo wanafunzi kupewa chakula kabla ya kumeza dawa na aliahidi kutoa ushirikiano mkubwa katika zoezi hili kwa kuwashirikisha viongozi wa serlkali wakiwemo Madiwani , watendaji wa Kata,watendaji wa vijiji na wenyeviti wa kijiji ili kufanikisha zoezi hili kwa ufasaha na hasa katika kuchangia chakula cha wanafunzi  ili kuepusha kupata madhara yatokanayo na kumeza dawa bila kula.  

Pia Mwenyekiti wa Halmashauri  Ndg. Ally Mwanga na  Mkurugenzi Mtendaji Ndg, Justice Kijazi walimshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuonesha ushirikiano katika zoezi hili muhimu na jinsi anavyojitoa kushiriki katika kazi za jamii.


Habari picha



 Washiriki wa Kikao cha Uhabarisho na Tathimini ya zoezi la ugawaji wa dawa za kichocho na  minyoo wakitafakari kwa makini umuhimu wa zoezi hili


Mwenyekiti wa Halmashauri akisisitiza umuhimu wa kingatiba ya kichocho na minyoo tumbo kwa watoto wenye umri kuanzia miaka mitano (5) hadi kumi na nne (14).


Mkurugenzi Mtendaji akiwasisitiza watendaji wa Afya kufanya kazi kwa kufuata taratibu za Afya na kuwaasa kuwa zoezi hili lifanyike kwa kuzingatia muda uliotelewa na asiwepo mlengwa yeyote atakayekosa dawa hizi muhimu.



Mratibu wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele  Bi. Lucina Kimaro akitoa tathimini ya zoezi zima la kugawa kingatiba kwa watoto. Alisema zoezi hili limesaidia sana kupunguza kasi ya maambukizi ya magonjwa ya kichocho na minyoo ya tumbo. Ameahidi kusimamia zoezi hili kwa ufanisi mkubwa.



Mkuu wa Wilaya akisikiliza kwa makini Taarifa iliyosomwa na Mratibu wa magonjwa ya kichocho na minyoo ya tumbo.


 

Kaimu Mgaga Mkuu wa Wilaya (pichani akiandika) Ndg. Philipo Kitundu akichukua nukuu za  mambo muhimu yaliyozungumzwa   katika kikao hicho. Pichani ni washiriki wa kikao hicho akiwemo Afisa Elimu Sekondari, Kaimu mweka Hazina na  Afisa Manunuzi.


Matukio katika Picha




Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa