• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Kituo cha afya kata ya ntuntu chaanza rasmi kutoa huduma.

Posted on: November 28th, 2022

Wananchi kata Ntuntu wilaya ya Ikungi Mkoa wa Singida wameishukuru serikali kwa kuwajengea kituo cha afya kitakachowasaidia wananchi hao kuifikia huduma kwa urahisi...


Kituo hicho cha afya kiliyotembelewa na Mkurugenzi wa huduma za Afya lishe na Ustawi wa Jamii Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI) Dkt. Ntuli Kapologwe pamoja na timu yake kutoka ofisi hiyo wakiongozana na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida na Timu yake (RHMT) kujionea hatua mbalimbali za ujenzi wa Kituo hicho hivi karibuni na sasa imeanza kutumika rasmi tarehe 28 Novemba 2022.


Mkurugenzi huyu pamoja na timu yake amepongeza Timu ya usimamizi wa ujenzi wa Kituo hicho cha Afya kwa ukamilishaji mzuri wa majengo 3 ya awamu ya kwanza (Jengo la Wagonjwa wa Nje OPD, Jengo la Maabara na Kichomea Taka) kwa kukamilika kwa asilimia 99% na kutoa maelekezo sasa Wananchi waanze kupata huduma kuanzi Jumatatu ya Tarehe 28/11/2022 na kueleza kuwa Serikali ipo kwenye hatua za mwisho za uletaji wa vifaa tiba mbalimbali katika Kituo hicho.


Aidha Katika majengo 3 ya awamu 2 (Jengo la Wodi ya Wazazi (Maternity), Jengo la Upasuaji (Theatre) na Jengo la Kufulia (Laundry) Mkurugenzi huyu kutoka (Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI) pia amekagua na kupongeza kwa hatua za Majengo hayo ilipofika na kusema Majengo yamefikia zaidi ya asilimia 60% hivyo ametoa maelekezo kuwa Kasi ya ujenzi iongezeke hadi kufikia Disemba 30 Majengo hayo yawe yamekamilika ili kufikia malengo ya Serikali ya kupeleka huduma kwa wananchi wa Ikungi hasa kata ya Ntuntu.


Aidha Mganga mkuu wa halmashauri ya wilaya ya Ikungi Dkt Michael Solomon pamoja na viongozi wa kijiji hicho wamefika kituoni hapo kujionea hali halisi ya maendeleo ya kiyuo hicho cha afya baada ya kuanza kutumika mapema hii leo na kusema kuwa wananchi wanapaswa kutunza mazingira ya kituo hicho ikiwepo vyoo na manzingira yote ya nje na ndani ya kituo hicho cha afya.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa