• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Kliniki ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi yaendelea Ikungi-Singida

Posted on: July 11th, 2024

Kliniki ya kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ikungi yaendelea ambapo baadhi ya wananchi  kutoka maeneo mbalimbali katika Wilaya ya Ikungi wamejitokeza kwa ajili ya  kushughulikiwa kero zao.

Hayo yamefanyika hii leo tarehe 11 Julai, 2024 katika Ofisi za Mkuu wa Wilaya ambapo kero kubwa imekuwa ni tatizo la ardhi ambapo Mkuu wa Wilaya, idara ya ardhi wakishirikiana na mwanasheria wamepata nafasi ya kuwasikiliza  wenye migogoro hiyo ya ardhi na kutoa maamuzi yenye msaada sawa pande zote.

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe.Thomas Apson amezungumza na wakuu wa Idara na vitengo Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi kabla ya kuanza kwa zoezi hilo na kuwaambia kuwa kliniki hii imekua msaada kwa wananchi kwani wamejitahidi kutatua kero nyingi  kwa kipindi kufupi.

"Tulivyoanza tuliona idadi kubwa sana ya watu wakifika hapa na kero zao mbalimbali ila mpaka sasa kama tunavyoona watu waliokuja leo kuleta kero zao ni wachache sana ukilinganisha na mwanzo hivyo hii inaonyesha wazi tumefanikiwa kufikia lengo na maagizo ya Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe Halima Dendego" amezungumza DC.Thomas Apson.

Mkuu wa Wilaya amesema kuwa zoezi hili ni endelevu na lengo ni kuwafikia wananchi wengi zaidi kadri muda utakavyoenda kwani ndio njia rahisi kuwapata wananchi wengi zaidi.

Uziduzi wa kliniki ya kushughulikia kero za wananchi wa Wilaya ya Ikungi ulifanyika tarehe 13 Juni, 2024 Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ambapo Katibu Tawala wa Wilaya ya Ikungi Mhe Rashid M. Rashid akimuwakilisha Mkuu wa  Wilaya ya Ikungi Mhe. Thomas Apson aliongoza zoezi hilo la uzinduzi kuhakikisha adhima ya zoezi hilo inatimia.

Naye kwa upande wake Mbunge wa jimbo la Singida mashariki Mhe Miraji Mtaturu amempongeza Mkuu wa mkoa wa Singida, Mkuu wa wilaya ya Ikungi pamoja na wakuu wa idara na vitengo kwa kutenga siku ya alhamisi katika kila juma kusikiliza kero za wananchi na kuwaomba waendelee na moyo huo

MWISHO.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa