• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Maafisa Masuuli Waelekezwa Kuanza Kutumia Mfumo NeST

Posted on: January 13th, 2025

Maafisa masuuli waelekezwa kuanza kutumia mfumo mpya wa kielektroniki wa ununuzi wa umma NeST katika michakato yote ya ununuzi wa umma.Hayo yamesemwa leo tarehe 13 Januari, 2025 na Mkurugenzi Mtendaji Halmshauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg. Justice Kijazi katika mafunzo ya mfumo huo yanayofanyika kwa siku mbili ukumbi wa Halmshauri ya Ikungi.Mkurugenzi ameongeza na kusema kuwa watumishi wote wanaohusika na mchakato wa ununuzi ndani ya taasisi wanapaswa kupata mafunzo yatakayomuwezesha kutumia mfumo huo wa manunuzi kwa ufasaha ili kuepusha ubadhilifu wa fedha za serikali."Wanaopaswa kushiriki mafunzo hayo ni pamoja na maafisa masuhuli, wakuu wa idara na vitengo, maafisa wawili kwa kila idara au kitengo wanaohusika na manunuzi, mkaguzi wa ndani, maafisa tehama na mwanasheria wa taasisi." amezungumza KijaziKwa upande wake Mkuu wa Idara ya manunuzi Wilaya ya Ikungi Bi Mariam A. Haroun amesema kwa mujibu wa kifungu Cha 9 (1)(k) cha sheria ya ununuzi wa umma, sura ya 410, mamlaka ya kudhibiti wa ununuzi wa umma PPRA imekasimiwa jukumu la kusanifu, kuanzisha na kuhuisha mifumo mbalimbali ya kielektroniki kwa ajili ya uwazi na kuleta tija kwenye ununuzi wa umma."Hivyo ni wajibu wa kila mmoja wetu kujifunza mfumo wa NeST na kujisajili ili kurahisisha huduma za manunuzi kwa njia ya mtandao" anasema Bi Mariam Hata hivyo kwa upande wao baadhi ya watumishi waliopata mafunzo hayo yamesema kuwa mafunzo hayo yanaenda kuwa muarobaini wa upotevu wa fedha za serikali kwani kila manunuzi yanaenda kufanyika kwa njia ya mtandao NeST na wapo tayari kujisajili na kuanza kutumia mfumo huu rasmi@ikulu_mawasiliano@teamsamia_suluhu@samia_suluhu_hassan@ortamisemi@urtmof@dr_philip_isdor_mpango

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa