• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Mkala Fupi Ziara ya Mwenge Wilaya ya Ikungi

Posted on: October 9th, 2023

Mnamo Tarehe 26 Septemba 2023 Mwenge wa Uhuru ulitia Nanga Kijiji cha Unyakhanya Wilaya ya Ikungi Mkoa wa Singida Ukipokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Thomas Apson  akishirikiana na Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi.Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Ikungi ulikimbizwa umbali wa Kilometa 137.7  katika miradi 7 yenye  thamani ya zaidi ya  Bilioni 2 iliyopo katika sekta za Elimu, Maji, Afya, Mazingira, Barabara, Ujenzi na Maendeleo ya Jamii na ilizindulia,kutembea,na kuweka mawe ya msingi katika miradi hiyo.Miradi hiyo ni pamoja na mradi wa Maji Kijiji cha Matare, Mradi wa vyumba vinne  vya madarasa na matundu 6 ya vyoo Shule ya Msingi Matare,Mradi wa Ujenzi wa barabara,Mradi wa Ujenzi wa kituo kipya cha Mabasi,mradi wa kitalu cha miti, Mradi wa ujenzi wa Wodi ya Wanaume, Wanawake, Watoto na  Jengo la kuhifadhia maiti, mradi wa ufyatuaji tofali wa kikundi cha Vijana Chapakazi, program ya kupambana na Rushwa, Malaria, Dawa za kulevya na Kushiriki Usafi wa Mazingira na upandaji miti Kijiji cha Puma.Pamoja na kupita katika Miradi ya Maendeleo,Mwenge wa Uhuru wa Mwaka huu umebeba Ujumbe unaolenga kuwaelimisha na kuwahamasisha Wananchi wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kushiriki kikamilifu katika harakati za kuhifadhi mazingira na kutunza vyanzo vya maji kama hatua muhimu ya kukabiliana na changamoto zitokanazo na mabadiliko ya tabia za nchii, chini ya kauli mbiu isemayo; “Tunza Mazingira, Okoa vyanzo vya Maji kwa ustawi wa viumbe hai kwa Uchumi wa Taifa’’.Aidha,Mbio za Mwenge wa Uhuru zitaendelea kuelimisha na kuhamasisha jamii ya Watanzania kuhusu umuhimu na uzingatiaji wa Lishe Bora, Mapambano dhidi ya Rushwa, Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI, Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za Kulevya na  Mapambano dhidi  ya  malaria.Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wamesema kuwa wataendelea kushirikiana vyema na Serikali Inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuhakikisha wanatatua kero mbalimbali zinazowakabili wananchi na kuwaletea Maendeleo Ikungi.MWISHOAfisa Habari Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi 09/10/2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa