• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Matokeo Chanya Mradi wa Pamoja wa KOICA UN Women Wilaya ya Ikungi

Posted on: September 17th, 2025

Katibu Tawala wa Wilaya ya Ikungi, Mhe. Rashid M. Rashid, akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Mhe. Thomas Apson, ameishukuru Serikali ya Korea kupitia ubalozi wake nchini Tanzania kwa kufanikisha mradi wa kuwawezesha wanawake na wasichana kiuchumi ili kufikia usawa wa kijinsia.

Akizungumza katika kikao kilichofanyika Septemba 17, 2025, cha kutoa taarifa kwa wadau kuhusu mradi uliofadhiliwa na Serikali ya Korea kupitia KOICA na kutekelezwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa (UN Women na UNFPA) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Mhe. Rashid alisema mradi huo umeleta matumaini mapya kwa jamii.

“Tumeshuhudia wanawake wakijitokeza kwa ujasiri kuchukua nafasi katika shughuli za uzalishaji, uongozi wa vikundi, na hata kushiriki maamuzi ya kijamii. Wasichana nao wamepata ujuzi wa kujitegemea na kutambua thamani yao katika jamii,” amesema Mhe. Rashid.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Ndugu Kastori Msigala, amesema matokeo chanya ya mradi wa pamoja wa KOICA–UN Women yanaendelea kuonekana kupitia ufadhili wa wilaya, umiliki wa jamii, na uongozi wa wanawake.


“Zaidi ya yote, Wilaya ya Ikungi inajivunia kusimama kama mfano wa kuigwa katika kuendeleza uwezeshaji wa kiuchumi wa wanawake na mipango ya usawa wa kijinsia hapa nchini Tanzania,” amesema Msigala.


Katika kikao hicho, wadau wametoa mafunzo kwa wanufaika wa mradi yaliyolenga kubadilishana uzoefu kuhusu mbinu za kupinga dhidi ya ukatili wa kijinsia pia wametoa msaada wa kompyuta mbili, mashine ya fotokopi na meza.

Mafanikio yaliyopatikana kupitia utekelezaji wa mradi huo ni pamoja na ununuzi wa gari kwa ajili ya ufuatiliaji wa shughuli za uwezeshaji wa wanawake kiuchumi na kupinga ukatili wa kijinsia, matumizi ya kituo cha Huduma kwa pamoja (One stop centres) na Dawati la Jinsia yanayotoa msaada wa haraka na wa kitaalamu kwa waathirika wa ukatili wa kijinsia, umilikishaji wa ardhi kwa wanawake, pamoja na ujenzi wa soko la kisasa Ikungi, linalotoa fursa kwa wanawake na wakulima kuuza mazao yao katika mazingira salama, safi na yenye hadhi.


Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Kilio cha Watumishi Ikungi Chapata Ufumbuzi

    October 01, 2025
  • Milioni 100 Zatolewa Mkopo wa Halmashauri, Vikundi 11 Kunufaika

    September 30, 2025
  • Msongamano wa Wanafunzi Darasani Sasa Basi

    September 25, 2025
  • Msongamano wa Wanafunzi Darasani Sasa Basi

    September 25, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa