• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

MKURUGENZI AKATA KIU YA WANANCHI KATA YA UTAHO-IKUNGI

Posted on: March 7th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi awataka watumishi wa serikali katika kata mbalimbali wilaya ya Ikungi kuzingatia maadili na nidhamu.Akizungumza na watumishi (Watendaji wa vijiji na kata,Walimu wa msingi na sekondari) kata ya Kituntu katika kikao cha ndani leo tarehe 07 March 2023 amewataka watumishi kuzingatia maadili ya utumishi pamoja na maadili ya wanafunzi katika kata hiyo na kata zingine kwa ujumla lengo ikiwa ni kuepukana na madhara mbalimbali ambayo yanaweza kujitokeza kutokana na utovu wa nidhamu"nitasisitiza hilo na sitoishia kata hii pekee kata zote nitafika maana msingi mzuri wa maendeleo ni nidhamu kwanza hata kukamilika kwa miradi mbalimbali inayotolewa kwa juhudi za Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan."alisema Kijazi.Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo pia alipata wasaa wakufanya mkutano na wananchi wa Kata ya Utaho ambapo ameahidi kukukamilisha mfumo wa maji ulioanzishwa na kufadhiliwa na shirika la Uturuki na Quet,kwa upande wa zahanati ameahidi kuongeza Milioni 1 kwa ajili ya kukamilisha ukarabati wa zahanati na kuleta watumishi na vifaa vya kutolea huduma "fedha zijazo Halmashauri ya wilaya itatenga million 500 kwa ajili ya kupanua ujenzi wa zahanati ya utaho...Mkurugenzi pia amewataka wazazi kuchangia chakula kwa wanafunzi ikiwa ni agizo la mkuu wa Mkoa ili kutengeneza lishe (afya) ya mtoto na kuepusha kwenda na kurudi nyumbani kwani wengine wanakaa mbali na shule...Kabla ya mkutano huo Mkurugenzi Kijazi akiongozana na Mhe Diwani Kalebu na viongozi wa kata na Kijiji ametembelea shule ya msingi Samamba ,Shule ya Msingi Utaho na zahanati ya Utaho kuangalia hali ya ujenzi unaoendelea na kuangalia mfumo wa maji uliojengwa na wafadhili ili kuhakikisha wananchi wa utaho wanapata maji kwa wakati.

MWISHO

fisa HabariHalmashauri ya Wilaya ya Ikungi

07/03/2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa