• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

MKURUGENZI AWEKA KIPAUMBELE KWENYE KILIMO

Posted on: June 8th, 2023

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri,Afisa Kilimo Wakiwa na Mkuu wa Masoko na mauzo ( Head of Sales and Marketing) wa Kampuni ya Minjingu wajadiliana juu ya upatikanaji na matumizi ya mbolea ya Minjiku katika Msimu wa kilimo 2023/2024. Wakijadiliana katika ofisi ya Mkurugenzi Leo tarehe 08 Juni 2023 Kijazi ameishukuru kampuni hiyo kwa kuonesha nia ya kuanza kusambaza Mbolea hiyo kwa mfumo wa Ruzuku ya serikali kwa wakati husiki. Aliendelea kusema kuwa katika msimu uliopita wa 2022/23 wakulima waliowengi walipata changamogo sana ya kupata mbolea za aina zote hasa ya kupandia na kukuzia. Hivyo ameahidi kumpa Afisa masoko na Mauzo wa kampuni hiyo ushirikiano ili wakulima kupata huduma kwa wakati.Pia Afisa Kilimo Wilaya Ndugu Gurisha Msemo aliweza kusema kuwa wao kwa sasa wameanza kuhamasisha wakulima kujiandikisha katika Daftari la ruzuku ya Mbolea na pia kuhakiki taarifa za wakulima kwa msimu wa mwaka jana kwenda msimu wa kilimo wa 2023/24.Gurisha Alitoa takwimu kuwa hadi sasa ni wakulima 11,123 ndio ambao wamejiandikisha lakini zoezi bado linaendelea ili wakulima wote kupata huduma kwa wakati.Aidha amesema wameanza kubaini wakala wa pembejeo na vyama vya ushirika vitakavyoweza kutoa huduma hiyo ya kuuza mbolea kwa njia ya Ruzuku kwa kusogeza huduma hiyo karibu na wakulima.Afisa wa Masoko wa kampuni hiyo ametoa ahadi ya kushirikiana kwa karibu sana na Halmashauri ya Ikungi ili kupata mbolea kwa wakati  katika msimu wa 2023/24.Hivyo ameomba aendelee kupewa ushirikiano ili mkulima aweze kupata huduma kwa karibu na wakati.Aliendelea kusema kuwa mbolea ya Kampuni ya Minjingu ni mbolea organic hivyo ni nzuri sana kwa ardhi yetu na mazao tunayozalisha.MWISHO Afisa HabariHalmashauri ya Wilaya ya Ikungi08/06/2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa