• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Mkurugenzi wa Tiba TAMISEMI Dkt. Chawote Asisitiza Usimamizi wa Miradi

Posted on: April 4th, 2024

Mkurugenzi msaidizi wa Tiba TAMISEMI Dkt. Chawote akiambatana na timu inayosimamia shughuli za afya ameagiza kukamilishwa kwa miradi mbalimbali ya hospitali, vituo vya afya, zahanati pamoja na kuhakikisha uwepo wa vifaa tiba ili kupunguza na hatimaye kumaliza tatizo la wananchi kukosa tiba katika baadhi ya maeneo.Hayo yamesemwa leo tarehe 04 Aprili, 2024 katika ziara ya usimamizi shirikishi huduma za afya na miradi inayotekelezwa mwaka wa fedha 2023/2024 katika Wilaya ya Ikungi.Timu hiyo imekagua nyaraka mbalimbali za hospitali ya wilaya ya Ikungi,vituo vya afya pamoja na zahanati na baadae kutembekea mradi wa ujenzi wa Zahanati uliopo hatua ya ukamilishaji na unaotarajiwa kugharimu milioni 50 kijiji cha Ighuka na Mradi wa ujenzi wa Zahanati Kijiji cha Nkuninkana unaogharimu milioni 50 na upo hatua za ukamilishaji.Mkurugenzi amepongeza juhudi na hatua za ujenzi wa Hospitali, vituo vya afya pamoja na zahanati hizo kutokana na usimamizi mzuri unaofanyika na kuwaomba kuongeza Kasi ya ukamilishaji wa majengo hayo na kuanza kutumika kwa wakati."Serikali inapotoa fedha Kwa ajili ya ujenzi wa miradi hii tunachotegemea ni kuona majengo hayo yanafanya kazi na sio vinginevyo kwani fedha zinakuja Kwa awamu na kwa bajeti" amezungumza Mkurugenzi Mwisho Mganga Mkuu Wilaya ya Ikungi Dkt Doricilla amepongeza timu hiyo kufika katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi na kukagua miradi hiyo na kuahidi kuchukua yote ambayo yanapaswa kutekelezwa na kuyafanyia kazi mapema zaidi ili kuhakikisha vituo vyote na zahanati zinafanya kazi Kwa viwango vinavyostahili na kuomba serikali kuongeza watoa huduma za afya katika Wilaya ya Ikungi kutokana na upungufu uliopo ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma Kwa wakati.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa