• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

MKUTANO MKUU WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI KUPITIA NA KUJADILI RASIMU YA BAJETI YA UJENZI NA MATENGENEZO YA BARABARA NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

Posted on: February 16th, 2023

Halmashauri ya wilaya ya ikungi hapo jana 14 februari 2023,waheshimiwa madiwani wamepitia na kujadili rasimu ya bajeti ya ujenzi wa barabara na makadilio ya mapato na matumizi ya fedha za sekta ya maji katika wilaya hiyo.

Meneja wa TARURA Inj Ally R. Mimbi amesema kuwa Tarura imejipanga kutengeneza barabara na madaraja kwa mwaka wa fedha 2023/2024 kwabajeti ya sh 4,472,547,262.47.


Katika kusema hayo Maneja wa TARURA ameomba kuidhinishiwa bajeti hiyo ya Tsh 4,472,547,262.47kwa ajili ya matengenezo ya barabara miradi ya maendeleo ,ujenzi wa madaraja ,fedha za usimamizi wa miradi na fedha za kuendesha shughuli za ofisi.


Aliongeza kuwa barabara hizo ambanzo ziko katika bajeti hiyo ni Mungaa-ntuntu-Mang'onyi,Issuna-Ngongosoro-Ilolo,Mtamaa-Minyuge-Mtavira na Mandimu-mnane.Pia amesema barabara zingine zitakazo kuwa kwenye matengenezo ni Ikungi mjini,Ujaire-lighwa,Mkiwa-choda ,Misughaa-Msule Sambaru ,Kipunda -Bunku,Mtunduru _Minyuge,Ikhamo -Mayaha-Ighombwe ,Sepuka-italala,Puma-Iglansoni,Balimaloage,Iglanson-Mkenene -Iyumbu pamoja na barabara ya Mnang'ana -mwasutianga.


Pia meneja wa RUWASA Inj hopeness E.Liundi amesema kuwa bajeti yao ya mwaka wa fedha 2023/2024 ni tsh 2,312,872,728.61. kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali ikiwemo ukamilishaji wa miradi ya maji vijijini inayoendelea na ujenzi wa miradi mipya iliyopangwa kutekelezwa katka wilaya .


Waheshimiwa Madiwani wameridhia na bajeti hiyo na kuipitisha bila mapungufu yoyote ili ikawakilishwe eneo husika.


Pichani ni Inj Ally R.Mimbi kushoto,Inj Hopeness e.liundi kulia na chini ni waheshmiwa Madiwani kushoto na wakuu wa idara kulia.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa