• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Mkuu wa Wilaya Aeleza Faida za Wawekezaji

Posted on: April 9th, 2024

Baadhi ya wanamchi wa kijiji cha Issuna Wilaya ya Ikungi walamika kuwepo kwa wawekezaji katika kijiji chao na kijiji jirani hali inayopelekea kuondolewa mashamba yao bila utaratibu na wengine kudai tayari kesi zao ziko mahakamaniHayo yameibuka katika mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe. Thomas Apson alipokuwa akisikiliza kero za wananchi katika kijiji hicho tarehe 09 Aprili, 2024 ambapo baadhi ya wananchi wamesema kuwa kumeibuka utaratibu wa watu kuuza mashamba ambao unapelekea migogoro ya ardhi kati ya wananchi na wawekezaji ambao wanazunguka eneo la kijiji cha choda Issuna A na Issuna B Hali hiyo imepelekea wananchi kuhoji mashwali mengi kwa Afisa ardhi wa Wilaya kutaka kujua taratibu gani zinatumika wawekezaji kupewa mashamba bila idhini ya wananchi na wengine wakilalamika kutokupewa taarifa juu ya uwepo wa wawekezaji hao.Afisa ardhi wa Wilaya ya Ikungi Bwana Salum amejibu na kusema kuwa Moja ya vipaumbele vya Mhe.Rais wa Jamhiri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan ni kuruhusu wawekezaji nchini ili waweze kushirikiana na wazawa kukuza maendeleo nchini, na Mkoa wa Singida ni Mkoa wa kimkakati kwenye swala la kilimo cha alizeti ili kutatua uhaba wa mafuta na Wilaya kushirikia na Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Peter Serukamba kipindi hicho walipita na kuhamashisha jamii juu ya umuhimu wa uwekezaji katika vijiji hivi."Hivyo jukumu letu ni kutafta wawekezaji ambao wanakidhi vigezo kwa kushirikiana na serikali ya kijiji husika na kutenga maendeneo yanayofaa kwa ajili ya kuwekeza mazao mbalimbali hasa kilimo cha alizeti na kulipa fidia kwa wananchi wenye maeneo husika" amezungumza Afisa ArdhiKwa upande wake Afisa Utumishi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Bi.Edina Aivan Palla ameongeza na kusema kuwa panapotokea mikutano ya kijiji, ujio wa viongozi pamoja na mikutano mingine yote wananchi wanajitokeza kwa wingi kwani ndiko taarifa mbalimbali hutolewa.Mwisho Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe.Thomas Apson Amewataka wanachi kutambua na kuthamini mchango wa Mhe. Rais wa Tanzania kwani amekuwa akifanya mengi mazuri nyakati zote hadi hivi sasa katika mwaka wake watatu kwenye uongozi wake na pale wanapotazama mapungufu watazame na mazuri yaliyofanyika.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa