• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Mkuu wa Wilaya Asikiliza Kero za Wananchi Kata ya Iglansoni

Posted on: May 8th, 2024

Wananchi wa kata ya Iglansoni wilayani Ikungi waomba kutatuliwa kwa changamoto mbalimbali zinazowakabili kwa wakati ili kuwezesha kukua kwa maendeleo katika kata yao.Baadhi ya changamoto hizo ambazo wananchi wamameeleza kuwa zimekua kero kwao ni pamoja na upatikanaji wa mbolea kwa wakati, kubadilika kwa utaratibu wa utoaji vyeti vya kuzaliwa, ukosefu wa umeme vijijini, ukosefu wa shule shikizi kutokana na umbali na changamoto za mvua kipindi cha masika, kukosekana Kwa huduma ya zahanati vijiji vya mbali ambapo wamesema kuondolewa kwa kero hizo kutarahisisha maisha yao na kuwakwamua kiuchumi pia.Hayo yamesemwa katika mkutano wa kusikiliza kero za wananchi ulioongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe. Thomas Apson leo tarehe 08 Mei, 2024 katika ziara yake Kijiji Cha Iglansoni ambapo kero hizo zimepatiwa ufumbuzi na kuwaagiza wakuu wa idara na vitengo alioongozana nao kuyachukua yanahitaji utekelezaji na kuyatatua kwa haraka.Sambamba na hilo Mkuu wa Wilaya amewaomba wanachi wa kijiji hicho pamoja na viunga vyake kushiriki kikamilifu katika mapokezi ya Mwenge wa Uhuru kwani mwenge huo upo kwa ajili ya kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan "Hivyo tujitikeze Kwa wingi ili kusema asante na kumuunga mkono Mama yetu mpendwa Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan" ameongeza Mkuu wa Wilaya Aidha amesema Mwenge wa Uhuru utapokelewa Wilaya ya Ikungi tarehe 07 Julai, 2024, utakagua miradi na kukesha kijiji cha Pumba na baadae kukabidhiwa tarehe 08 Julai, 2024 katika Wilaya nyingine Kwa ajili ya kuendelea na ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani Singida.Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM katika kata ya Iglansoni Mhe.Emmanuel Bulugu pamoja na Diwani kata ya Iglansoni Mhe Yusuph Athumani wamesema kuwa viongozi wa Wilaya ya Ikungi inajitahidi kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapindizi na kuwaomba kuongeza juhudi katika utekelezaji wa ilani hiyo kwani ndicho kipimo kizuri kwa utendaji kazi wa watumishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa