• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Muungano Tutaulinda ili Kukuza Maendeleo Nchini

Posted on: April 26th, 2024

Katibu Tawala Wilaya ya Ikungi Mhe.Rashid M.Rashid ahutubia wananchi wa Wilaya ya Ikungi akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe.Thomas Apson katika kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Mhe. Rashid amesema viongozi waasisi wa nchi ya Tanzania wameacha tunu katika taifa hili, hivyo ni wajibu wetu kudumisha, kuimarisha na kuuenzi muungano huu kwani tukiuelewa umuhimu wa muungano tutaulinda ili kukuza maendeleo nchini.Katibu Tawala ameongeza na kusema kuwa tarehe 22 mwezi aprili mwaka 1964 hati ya makubaliano ya muungano ilisainiwa rasmi na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pamoja na Shekhe Aman Abeid Karume na kufuatiwa na matukio mbalimbali yaliyohitimishwa tarehe 26 Aprili 1964 Katika maadhimisho hayo yaliyofanyika kiwilaya ukumbi wa Halmashauri ya Ikungi hii leo tarehe 26 Aprili 2024, majadilioano mbalimbali juu ya dhana ya muungano yaliibuka huku badhi ya wajumbe kugusia juu ya umuhimu wa muungano huo unavyoleta matokeo chanya Kwa taifa letu Baadhi ya wajumbe wametaja umuhimu wa muungano huo ni pamoja na kuongezeka kwa ajira, kukuza umoja na mshikamano pamoja na kukua kwa maendeleo nchini Tanzania Mwalimu Adam shule ya sekondari akinukuu maneno ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere amesema kuwa kinachotengeneza muungano sio sheria ila sheria imewekwa kwa lengo la Kulinda na kudhibiti muungano"Tumekuwa na mafanikio katika nyanja za ulinzi na usalama, pia muungano umezingatia usawa wa kijinsia nchini kwani kufanya hivyo kunafanya watu wote wawe sawa" amezungumza Mwalimu Adam.Kwa upande wao baadhi ya wanafunzi katika shule ya sekondari Ikungi wamekuwa na mtazamo chanya juu ya serikali kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi kuwaalika katika makongamano mbalimbali na matukio ya kiserikali kwani hiyo imekuwa ikiwajengea uwezo wa kuelewa mambo mengi yanayo wahusu wao na jamii kwa ujumla wake.Kauli mbinu ya maadhimisho hata ni miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania tumeshikamana, tumeimarika kwa maendeleo ya taifa.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa