• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Naibu Katibu Mkuu Mpanju Azindua Kitini cha Wawezeshaji cha Mila na Desturi Ikungi

Posted on: June 2nd, 2025

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju, leo Juni 2, 2025, amezindua kitini cha wawezeshaji kuhusu majadiliano ya mila na desturi katika jamii. Uzinduzi huo umefanyika katika Kata ya Ighombwe, Wilaya ya Ikungi, mkoani Singida.

Akizungumza kwa niaba ya Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii jinsia wanawake na makunfu maalumu Mheshimiwa Mwanaidi Ally,

Wakili Mpanju aliishukuru taasisi ya Amani Girls kwa mchango wake mkubwa katika kuwawezesha wanawake na wasichana, pamoja na kuendeleza maendeleo ya jamii kwa ujumla. Alilipongeza shirika hilo kwa kazi nzuri ya kuelimisha jamii kuhusu haki na nafasi ya mtoto wa kike.

Katika hotuba yake, Wakili Mpanju alisisitiza umuhimu wa kuhifadhi na kuenzi mila, desturi na tamaduni nzuri, huku akitoa wito wa kukemea na kuachana na zile zenye madhara kwa jamii.


"Mila na tamaduni ni sehemu ya utambulisho wa jamii. Tunapaswa kuziendeleza zile zinazojenga mshikamano, lakini zile zinazowanyima haki watoto, wanawake au makundi mengine hazifai kuendelea," alisema.

Aliwahamasisha wananchi kujiunga katika vikundi vya kiuchumi ili waweze kunufaika na mikopo ya asilimia 10 inayitolewa kwenye mapato ya ndani ya halmashauri yenye masharti nafuu kwa wanawake, vijana, wazee na watu wenye ulemavu.

"Nia ya Serikali ya Awamu ya Sita ni kuhakikisha maendeleo yanawafikia watu wote hadi ngazi ya chini kabisa. Wananchi mnatakiwa kuzitumia fursa hizi kujikwamua kiuchumi," aliongeza.

Aidha, alisema kuwa Benki ya NMB nayo inatoa mikopo kwa wafanyabiashara wadogo kwa masharti nafuu, na akawahimiza wananchi kuitumia kama mtaji wa kuanzisha au kukuza biashara zao.

"Tuchangamkie fursa ya mikopo. Tukopeshwe, tufanye biashara na tuongeze kipato chetu," alihimiza.

Kwa upande wake Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii, Bi. Haika Masawe, alisema kuwa Halmashauri imeanza kutoa mikopo kwa kila kundi la wanawake vijana na walemavu. Alieleza kuwa wanufaika wa mikopo wanapaswa kuunda vikundi vya kuanzia watu watano. Kwa upande wa vijana, wanakikundi wanapaswa kuwa wenye umri kati ya miaka 18 hadi 45.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Wachimbaji Wadogo Watakiwa Kuijua Sheria ya Madini na Kanuni Zake

    June 22, 2025
  • Wajasiriamali Kupata Mikopo Ikungi

    June 20, 2025
  • Watendaji wa Vijiji Wanaoshindwa Kutimiza Wajibu Wao Waonywa

    June 18, 2025
  • Hoja 19 Kufungwa Ifikapo Tarehe 19 Juni Mwaka Huu

    June 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa