• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

NAIBU WAZIRI AFIKA HOSPITALI YA WILAYA IKUNGI

Posted on: March 1st, 2023

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Deogratius J. Ndejembi na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais -TAMISEMI anayesimamia Elimu, Dkt. Charles Msonde pamoja na timu yake wamefika hospitali ya Wilaya ya Ikungi Kukagua kasi ya utekelezaji Maelezo ya Katibu Mkuu w Chama cha Mapinduzi CCM aliyoyatoa wakati alipotembea hospitali hiyo tarehe 28 Februari 2023, hasa majengo yautoaju wa huduma hospitalini hapo...Awali Katibu mkuu alipongeza juhudi za Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi kupokea baadhi ya vifaa vya hospitali  na kuvifunga kwa ajili ya kuanza kutoa huduma na kusaidia kutatatua changamoto mbalimbali zilizo ndani ya uwezo wao na kutoa maagizo kuwa fedha za miradi zije ili kukamilisha ujenzi na baadhi ya vifaa ili hospitali hiyo iweze kuhudumia wagonjwa wengi na kwa uharaka... Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya Ikungi Dr. Kahabi Madoshi Kimotoli akisoma taarifa mbele ya mgeni rasmi Ngd Daniel Chongolo alisema baadhi ya changamoto zinazoikabili hospitali hiyo ni pamoja na Kutokamilika kwa majengo nane (8) Jengo la OPD, Maabara, Famasi, Utawala, Mionzi, Kufulia, Wodi ya wazazi na kichomea taka baada fedha kiasi cha Tshs 325,193,815/= zilizovuka mwaka wa fedha 2019/2020 kuchukuliwa na Wizara ya fedha na Mipango. Halmashauri imewasiliana na OR-TAMISEMI kuomba fedha za umaliziaji wa majengo hayo kama maelekezo yalivyotolewa na Mh.Kassim Majaliwa Majaliwa wakati wa ziara yake aliyoifanya WIlaya ya Ikungi tarehe 05/08/2022.Naibu waziri pamoja na katibu mkuu ofisi ya Rais wamekagua hospitali hiyo na kufanya tathini ya namna ya kutatua changamoto ambazo zipo katika hospitali hiyo...Aidha ugeni huo ulipata wasaa wa kuzungumza na baadhi ya wahudumu waliokwepo na kuwataka kufanya kazi kwa bidii bila kujali uhaba wa vifaa kwani serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan ipo tayari kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili kwa wakati.Wenyeji wa ugeni huo walikua ni pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe.Thomas Apson, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi, Mganga mkuu Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Michael Solomon pamoja na  Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya Ikungi Dr. Kahabi Madoshi.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa