• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Ripoti ya Utafiti wa Msitu wa Minyughe Yatolewa, Matarajio Mema Ikungi

Posted on: July 10th, 2025

Mkuu wa Divisheni ya Mazingira Halmashari ya Wilaya ya Ikungi Ndg. Richard Rwehumbiza awasilisha utafiti wa pori la hifadhi Minyughe linalotarajiwa kutumika katika mradi wa hewa ya ukaa pale taratibu zitakapokamilika.

Utafiti huo umefafanua ukubwa wa eneo, aina ya miti inayopatikana katika msitu huo, shughuli za binadamu zinazoathiri hifadhi, na kiasi cha hewa ya ukaa kinachopatikana kupitia msitu huo, ujazo, maumbile, mabadiliko ya msitu na uhifadhi wa msitu.

Akifafanua utafiti huo kiongozi kutoka NEMC amesema kuwa ripoti imetaja aina ya miti iliyopo katika msituhuo kuwa ni pamoja na Miombo, vichaka na miti mingine inayozalisha hewa ya ukaa zaidi ya tani 23 kwa hekta na katika kila hekta ya miombo uwezo wa kuzalisha tani 28, hivyo kwa utafiti huo kuna uwezekano wa kuvuna tani nyingi kupitia msitu huo uliopo wilaya ya Ikungi.

“Zaidi ya asilimia 75 msitu unafaa kwa uzapishaji wa hewa ya hewa ya ukaa pamoja na shughuli zingine zisizoathiri uaribifu wa misitu kama udugaji wa nyuki wa asali” amezungumza Mtafiti kutoka NEMC

Utafiti huo umefanywa na kamati maalumu yenye wajumbe kutoka NEMC, Halmashauari, TFS pamoja na viongozi wa Mkoa na wametoa ushauri kuwa kuna haja ya kuanzishwa kwa sheria ndogo ndogo zinazodhibiti wavamizi wa misitu hiyo

Lengo la utafiti hii ni kuelekea kwenye biashara ya hewa ya ukaa ambapo baadhi ya makapuni yameonyesha nia ya kuwa na uhitiji wa kufanya biashara na Halmshauri ya Wilaya ya Ikungi.


Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Ziara ya Ukaguzi wa Miradi Siku 10 Kabla ya Mwenge, RC Dendego Apongeza

    July 12, 2025
  • Ripoti ya Utafiti wa Msitu wa Minyughe Yatolewa, Matarajio Mema Ikungi

    July 10, 2025
  • Elimu Itolewe Mfumo wa Stakabadhi Ghalani

    July 09, 2025
  • Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo ya Mifugo Yazinduliwa Rasmi

    July 08, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa