• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Sekta ya Nyuki ni Sekta Muhimu Singida, kwa vijina ni fursa

Posted on: October 23rd, 2023

Katika mkutano wa Tarehe 16 Octoba 2023 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amewataka vijana kuendeleza sekta ya nyuki kwani Ufugaji wa nyuki ni asili ya Watu wa Singida.Rais Samia amesema hilo baada ya kupata historia ya Singida wakati wa maadhimisho ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa Mkoa wa Singida kuwa ufugaji wa nyuki umeanza tangu enzi za mababu hivyo hatuna budi kuiendeleza asili hiyo.Aidha amemuagiza waziri mwenye dhamana ya sekta ya nyuki nchini kushirikiana na vijana wa singida kuikuza sekta hiyo ili kuleta maendeleo mkoani Singida.Kwa upande wake Ndg Philbert U.Benedict Afisa Nyuki Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi amesema kitengo cha nyuki kikishirikiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi kinatekeleza mradi wa Kusaidia kuongeza Mnyororo wa thamani wa ufugaji wa Nyuki BEVAC ambao unawafikia wafugaji binafsi na wenye vikundi chini ya ufadhili wa Umoja wa Ulaya."Tunatoa mafunzo kwa wafugaji zaidi ya 100 kuhusu mbinu za ufugaji kibiashara na ujasiriamali kupitia mazao ya nyuki"amesema PhilbertPia maeongeza na kusema kuwa Ikungi ina mradi wa kusaidia jamii zinazoishi pembezoni mwa misitu katika vijiji 10 ambavyo ni Ng'ongosoro,Iglanson,Minyughe,Mhintiri,Makilawa,Mtavira,Mpugizi,Mtunduru,Germani pamoja na Mwaru kujishughulisha na ufugaji wa Nyuki ili kupunguza kasi ya uharibifu wa misitu."Mradi huu unafadhiliwa na Mfuko wa uhifadhi wa misitu Tanzania FAFF"Amezungumza Afisa Nyuki Ndg PhilbertMwisho amesema kila mwaka kitengo hiki kinaweka kwenye bajeti shughuli za ufugaji wa nyuki lengo ikiwa ni kuboresha na kukuza sekta ya ufugaji wa nyuki Wilayani Ikungi.Imetolewa na:Afisa Habari Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi23/10/2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa