• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

SENSA IKUNGI YAFIKISHA ZAIDI YA ASILIMIA 85

Posted on: August 27th, 2022

SENSA YA WATU NA MAKAZI -WILAYA IKUNGI YAFIKISHA ZAIDI YA ASILIMIA 85

 

Mkuu wa mkoa wa singida Mhe. Peter Serukamba ameridhishwa na jinsi wilaya ya Ikungi inayoendesha zoezi la sensa ya watu na makazi kwa mwaka 2022 leo jumamosi tarehe 27/08/2022, na kuitaka wilaya wamalize zoezi lote la sensa ya watu na makazi

Rc Serukamba amesema kama mpaka sasa wilaya imeshafikisha zaidi ya asilimia 85 kwa kuandikisha kaya zaidi ya elfu 51 kuna uwezokano mkubwa wakamaliza zoezi hilo mapema iwezekanavyo .

Ziara hio ya kutembelea wilaya ya Ikungi imetokana na kikao alichokifanya  na  wajumbe wa sense mkoa katika ofisi ya mkuu awa mkaoa tarehe 25/08/2022, ambapo alimwagiza mratibu wa  sensa wa mkoa wa Singida  ndugu  Naing’oya  kipuyo kuangalia  na kuongeza Timu ya makarani ndani ya wilaya zao kuhakikisha zoezi  hilo linaisha haraka na kwa wakati.

Wakati huo huo Rc Serukamba amewataka wasimamizi na waratibu wa sensa Ikungi kuwahamisha makarani waliomaliza katika maeneo yao na kuwapeleka kwenda kuongeza nguvu katika maeneo ambayo hayajafikiwa na yana idadi kubwa ya kaya uku zingine zikiwa kwenye umbali kufikiwa

Mkurugenzi wa halmashauri ya Ikungi Ndugu Justice Kijazi amemuhakikishia Rc Serukamba kuwa zoezi litakwenda vizuri na litamalizika katika muda uliopangwa na kwa uadilifu mkubwa

Tazama picha za matukio

Pich aya pamoja mkuu wa wilaya ya Ikungi Mhe. JERRY MURO (mwenye miwani) akizumgumza  na afisa mipango  wa Hlmashauri ya wilaya ya ikungi pamoja na msimamizi wa maudhui bi. Rachel Maliwa

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilwya ya Ikungi ndugu . Justice Kijazi akisoma taarifa ya sense ya watu na makazi inayoendelea wilaya ya Ikungi

Mkuu wa wmkoa wa Singida Mheshimiwa Peter Serukamba akiwa anaweka msisitizo unaohusiana na mwendelezo wa Sensa mkoa wa Singida na wilaya ya Ikungi

mkuu wa mkoa wa singida Ndugu Peter Serukamba akiweka masisitizo wa Zoezi la sensa ya watu na makazi



Mkuu wa wilaya ya Ikungi Mhe. Jerry Murro akiwa pamoja na Afisa mipango wa Hlmashauri ya wilaya ya Ikungi  na Msimamizi wa maudhui wakijadili jambo


Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya IKUNGI Ndugu Justice Kijazi akisoma taarifa za sensa


Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa