• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Siku ya usafi Duniani Usafi Wafanyika Kiwilaya Kijiji cha Puma

Posted on: September 16th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Thomas Apson Ashiriki zoezi la Usafi wa Mazingira uliofanyika kiwilaya katika kijiji cha Puma na kuwataka wananchi kuwa na utamaduni wa kufanya usafi kila siku na sio kusubiri siku maalumu zilizotengwa na serikali.Mhe Apson ameyasema hayo mapema hii leo katika siku ya Usafi duniani katika kijiji cha Puma mara baada ya usafi na kusisitiza usafi usifanyike kwenye mazingira pekee bali na miili yetu pia ili kuwa nadhifu muda wote.Kwa upande wake Afisa Mazingira Halmashuri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Richard Rwehumbiza akisoma taarifa mbele ya Mhe DC amesema Kiasi cha taka kinachozalishwa katika Halmashauri ya wilaya ya ikungi ni Tani 82,911.36 kwa mwaka na Wananchi wanashiriki kufanya usafi katika maeneo yao na maeneo ya wazi kila jumatano ya kila wiki na jumamosi ya mwisho ya kila mwezi kama agizo la serikali linavyosema.Afisa mazingira ameongeza na kusema kuwa Kiasi cha taka kinachokusanywa tani 41,455.68 sawa na asilimia 50% ni taka ambazo utupwa mashambani kama mbolea kwa kuwa zinatokana na mazao ya mashambani  na kiasi cha taka tani 16,582.27sawa na asilimia 20% kinafukiwa na kiasi cha taka tani 16,582.27sawa na asilimia 20%  kinatupwa Dampo na kwenye mashimo ambayo yameainishwa kama madampo na kiasi cha taka tani 8,291.14 sawa na asilimia 10% zinabaki mitaani kila mwaka. "Kwa mji wa ikungi tuna dampo ambalo lipo KM 4 kutoka katikati ya mji na lina urefu wa Mita 150 na upana wa Mita 63 ambalo linatumika kutupia taka kwa mji wa ikungi na Tume waagiza watendaji wa kata zote kutenga maeneo kwa ajili ya Dampo."amezungumza Afisa MazingiraMwisho Mhe Apson amepongeza juhudi za  Mkurugenzi na Timu yake yote kuhakikisha vifaa vya kufanyia usafi vinapatikana muda wote na vinafanyiwa kazi.Siku ya usafishaji Duniani huadhimishwa Duniani kote tarehe 16 septemba kila mwaka na Siku hii iliadhimishwa kwa mara ya kwanza Duniani mwaka 2019 na nchini Tanzania mwaka 2022 Shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani (UN-HABITAT) kupitia kikao chake cha tarehe 5-9 Juni, 2023 kilichofanyika Jijini Nairobi, Kenya kilipitisha azimio namba HSP/HA.2/L6 la utekelezaji wa siku hii kwa nchi zote Wanachama wa Umoja wa Mataifa.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa