• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Sipo Tayari Kufumbia Macho Uzembe wa Wachache DED Ikungi

Posted on: September 19th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndugu Kastori Msigala akiongozana na wakuu wa Idara na vitengo awataka wasimamizi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Wilaya ya Ikungi kusimamia kwa karibu na kwa uadilifu ili iweze kukamilika kwa wakati na kuanza kutumika.

Akizungumza wakati wa ziara yake hii leo Tarehe 19 Septemba, 2025 kata ya Ntuntu, Mkurugenzi Mtendaji amesema kuwa, hayupo tayari kunyamaza panapotokea ucheleweshwaji wa miradi kutokana na uzembe wa watu wachache.

"Fedha zinapotoka huja na maelelekezo ya lini mradi unapaswa kuanza na lini unapaswa kukamilika hivyo panapotokea ucheleweshwaji ni uzembe na tunapaswa kuwachukulia hatua za kisheria" amezungumza Msigala


Hata hivyo amewataka walezi wa kata zote kutembelea miradi yao na kujua maendeleo na changamoto zilizopo ili ziweze kutatuliwa kwa lengo la kuhakikisha miradi inakamilika haraka na kwa ubora kulingana na maelekezo ya serikali.


Mkurugenzi Msigala amefanya ziara hiyo kukagua hali ya ukamilishaji wa jengo la Mama na Mtoto kituo cha afya Ntuntu kupitia fedha za Halmashauri milioni 25 na mradi huo upo hatua za ukamilishaji, mradi wa ujenzi wa madarasa mawili matundu sita ya vyoo shule ya msingi Ntewa unaogharimu milioni 57.2 kupitia fedha za BOOST na mradi huo upo hatua za awali.

Pia ametembelea na kukagua ujenzi wa madarasa mawili, matundu sita ya vyoo shule ya msingi Taru, mradi unaogharimu milioni 57.2 kupitia fedha za BOOST na ujenzi huo upo hatua za Ukusanyaji wa mchanga, kokoto na mawe.

Katika shule za msingi Lighwa na Ujaire ujezi wake upo hatua za awali ambapo Mkurugenzi Msigala ameagiza miradi hiyo kuanza mara moja kwani fedha tayari zimeingia kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Msongamano wa Wanafunzi Darasani Sasa Basi

    September 25, 2025
  • Msongamano wa Wanafunzi Darasani Sasa Basi

    September 25, 2025
  • Wanyabiashara Kulipa Kodi Makiungu Bado Fumbo

    September 24, 2025
  • Sipo Tayari Kufumbia Macho Uzembe wa Wachache DED Ikungi

    September 19, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa