• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

TASAF III Awamu ya pili kuzinduliwa leo Tarehe 25/04/2021

Posted on: May 25th, 2021

Ufunguzi wa  utambuzi na uandikishaji wa kaya maskini kwa vijiji  Arobaini na nne (44) ambavyo havikufikiwa na mapango wa Awamu ya kwanza kuzinduliwa leo Tarehe 25/05/2021. Mheshimiwa Mkuu wa Wiilaya Ndg. Edward Mpogolo wa tatu kutoka kushoto amefungua hafla hiyo na kufurahishwa na Serikali kwa jinsi ambavyo inawajali watanzania wa hali chini.  Aidha amesisistiza kuwa watendaji watakaohusika kubaini kaya maskini wafanye kazi kwa weledi bila  kuwa na upendeleo wa aina yeyote. Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Ikungi Ndg. Justice Kijazi wa pili kutoka kushoto , ameishukuru Serikali kwa kupatiwa kaya nyingine Arobaini na nne (44)   ambazo awali hazikuwepo kwenye mpango. Ndg . Justice Kijazi amesema kuwa Halmashauri ya Willaya ya Ikungi ina vijiji 101 ambavyo kwa sasa vyote vipo kwenye mpango. Awali vijiji 57 vilikuwa kwenye mpango lakini kwa sasa baada ya kuongezeka vijiji 44  vijiji vyote vimefikiwa na mradi


Habari Picha



Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg. Ally Mwanga wa kwanza kutoka kulia, akifuatiwa na Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya Ndg, Edward Mpogolo (katikati) pamoja na Mkurugenzi mtendaji wa kwanza kutoka kushoto wakijadili jambo kabla ya uzinduzi wa mpango wa TASAF III Awamu ya pili kwa vijiji 44. Mapacha hawa watatu wanaonesha nyuso za furaha kwani  wanafanya kazi kwa upendo na ushirikiano mkubwa jambo ambalo limeifanya Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi kushamiri.


Mkuu wa Wilaya akiongea jambo kwa wawezeshaji watakaofanya zoezi la kubaini kaya maskini katika vijiji 44. 


Washiriki wa semina ya uandikishaji wa kaya maskini wakionesha kuwa makini kusikiliza somo ikiwa ni siku ya kwanza ya mafunzo hayo, ambayo yatafanyika kwa muda wa siku tano katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi.Aidha Semina hiyo kwa siku ya kwanza ilishirikisha  Kamati ya Ulinzi na usalama ya Wilaya, Waheshimiwa Madiwani, Wakuu wa Idara na Vitengo na  wawezeshaji walioteuliwa kuandikisha kaya maskini,


Mwenyekiti wa Halmashauri akiwaasa washiriki wa mafunzo ya Mpango wa TASAF III  Awamu ya pili


 Mkurugenzi Mtendaji akizungumza jambo na washiriki wa mafunzo ya Mpango wa TASAF III  Awamu ya pili


Afisa ufuatiliaji wa miradi ya TASAF katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Bi Nuru Mkomambo akijibu maswali kwa ufasaha  yaliyoulizwa na washiriki wa mafunzo ya utambuzi na uandikishaji wa kaya masikini TASAF III Awamu ya pili


Matukio mbali mbali katika picha



Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa