• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Tunaungana na Watanzania Wote Kuwakumbuka na Kuwaombea Heri Mashujaa Wetu

Posted on: July 25th, 2024

Afisa Tawala wa Wilaya ya Ikungi Ndg.Jackson G.Kibeba akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe.Thomas C.Apson pamoja na Katibu Tawala wa Wilaya ya Ikungi Mhe.Rashid M.Rashid ameongoza zoezi la usafi wa mazingira katika mnara wa mwenge uliopo Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi katika siku ya mashujaa.

Akisimulia historia ya mashujaa kabla ya kuanza zoezi la usafi mapema hii leo tarehe 25 Julai, 2024 Afisa Tawala amesema kuwa kila ifikapo Julai 25 ya kila mwaka,Tanzania huadhimisha siku ya kuwakumbuka mashujaa waliopoteza maisha yao wakiutetea, kuupigania na kulinda Uhuru wa Tanzania hivyo hii pia huambatana na shughuli mbalimbali ikiwemo dua na sala maalum za kuwaombea Mashujaa waliopoteza masiaha na kuimbea Amani ya Nchi kutoka kwa Viongozi wa Dini.

Afisa Tawala ameongeza nakusema kuwa Mashujaa hao walipambana kwa hali na mali kwa ajili ya kuitetea Nchi ya Tanzania wakiwa katika maeneo mbalimbali walijizatiti na kujitoa kwa uzalendo mkubwa kwa kuweka rehani maisha yao kwa ajili ya Tanzania.

"Hivyo uongozi, menejimenti na wananchi wote wa Wilaya ya Ikungi tunaungana na watanzania wote kuwakumbuka na kuwaombea kheri Mashujaa wetu kutokana na kujali na kudumisha misingi ya amani." Amezungumza Kiongozi huyo


Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Bi Haika Massawe amesema kuwa misingi mizuri na imara iliyojengwa na waasisi wa Taifa letu Baba wa Taifa Hayati Mwl.Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume, imesababisha Wananchi wa Tanzania kwa muda mrefu kuishi kwa Amani na Utulivu huku wakifanya mambo yao kwa uhuru bila kuingiliwa na mtu yoyote wa ndani au nje.

"Hivyo amani iliyojengwa imepelekea wageni, wakimbizi na watalii kuifanya Tanzania kuwa kivutio na kimbilio" amesema Bi Haika.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Mafunzo ya BVR Awamu ya Pili yazinduliwa

    May 14, 2025
  • Msigala Aagiza kutungwa kwa Sheria Ndogo Kudhibiti chumvi

    May 09, 2025
  • Ikungi Kinara wa Miradi Bora

    May 08, 2025
  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa