• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Tupunguze Kazi Bila Malipo Kwa Wanawake

Posted on: December 19th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Thomas Apson Ahitimisha Mafunzo ya Mradi wa Upishi Safi,Punguza kazi bila malipo kwa  mjadala,maswali na majibu kutoka kwa wawezeshaji.Akizungumza kwenye hafla hiyo kabla haja hitimisha mafunzo Tarehe 19 Disemba 2023 katika ukumbi wa Ofisi yake Dc Apson amesema kuwa ni wakati wa kumpunguzia mwanamke shughuli ambazo hazimuingizii kipato ili aweze kusaidia kuingiza kipato kuanzia ngazi ya familia na kuendelea."Mradi huu ni mzuri kwani utamuwezesha mwanamke kuinuka kiuchumi ila msijisahau kuwa mnapaswa kuwaheshimu waume zenu kwani wao ndio vichwa vya familia hata vitabu vya dini vinaandika hivyo pia"Alisema  Mhe DcMradi huu unatekelezwa na Mtandao wa Nishati na Jinsia Tanzania TANGSEN kwa ufadhili wa UN Women katika Wilaya ya Ikungi Mkoa wa Singida ambapo ulianza mwezi wa 10 na kuhitimishwa mwezi wa 12 mwaka huu.Mtaalam Mshauri  TANGSEN Bi Gisela Ngoo amesema shirika hili linatoa elimu na kuhamasisha matumizi ya Teknolojia zinazorahisisha kazi kama majiko ya kisasa ambayo ni safi na bora."Naishauri Serikali kuweka sheria ndogo ndogo zinazolenga kupunguza mzigo wa kazi zisizo na malipo katika Halmashauri Kata na Vijiji"Amesema Mtaalamu Mshauri wa TANGSENTafiti zinaonyesha wastani wa masaa 3 mpaka 6 hutumiwa na wanawake kutafta kuni kila wiki kwa ajili ya kupikia,na hutumia wastani wa masaa 4 mpaka 6 kupika sawa na wastani wa masaa 35 kwa wiki bila malipo hivyo yakitumika majiko ya kisasa muda huo unapungua mpaka wastani wa masaa 18 kwa wiki na kumsaidia mwanamke kufanya shughuli zingine zenye kumuingizia kipato katika familia.MWISHO Imetolewa na,Afisa HabariHalmashauri ya Wilaya ya Ikungi19/12/2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Wachimbaji Wadogo Watakiwa Kuijua Sheria ya Madini na Kanuni Zake

    June 22, 2025
  • Wajasiriamali Kupata Mikopo Ikungi

    June 20, 2025
  • Watendaji wa Vijiji Wanaoshindwa Kutimiza Wajibu Wao Waonywa

    June 18, 2025
  • Hoja 19 Kufungwa Ifikapo Tarehe 19 Juni Mwaka Huu

    June 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa