• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Tuwalinde Watoto Wetu Kipindi Hiki cha Likizo

Posted on: December 11th, 2024

Kikao cha kawaida cha kamati ya kutokomeza ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto MTAKUWWA cha wilaya ya Ikungi chajadili taarifa za utekelezaji wa miradi kutoka divisheni ya Maendeleo ya jamii katika huduma ya afya ,ustawi wa jamii na lishe.

Akisoma taarifa ya mpango wa Taifa wa kutokomeza ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto MTAKUWWA katika ripoti ya mwaka Juli 2024-Septemba 2024 Bi-Robby Muhochi Afisa Ustawi wa jamii amesema kuwa kumekuwa na changamoto jamii kutokutoa ushirikiano kuhusiana na wahanga wa ukatili, jamii kutoshiriki kikamilifu katika mikutano inayotoa elimu juu ya ukatili wa kijinsia.

Katika kikao hicho wajumbe wametoa maoni juu ya taarifa hiyo kuwa elimu iendelewe kutokewa kwa jamii, kubaini na kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi, huduma ya mkono kwa mkonoONE STOP CENTER kuchukua mkondo wake inapobidi.

Aidha mikakati imewekwa ili kuendelea kudhibiti matukio ya ukatili wilaya ya Ikungi kama vile kamati mbalimbali za MTAKUWWA kukaa na kujadili namna ya kutokomeza janga hilo, kuhamasisha wananchi kutoa taarifa za ukatili, kuhamasisha wananchi kushiriki mikutano ya elimu dhidi ya ukatili.

"Hata hivyo tunashirikiana kwa karibu na kitengo cha lishe kutoa elimu ya uhifadhi wa chakula kwa jamii ili kuepuka ukosefu wa chakula katika kaya na kuhatarisha ulinzi na usalama wa afya ya mama na mtoto" amezungumza Afisa Ustawi

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Bi-Haika Massawe ambaye pia ni mwenyekiti wa kikao hicho wakati akifunga kikao amesema kuwa kuna haja ya wazazi kupewa elimu hasa kipindi hiki cha likizo watoto wanapokua nyumbani kwani ndiko yanakotokea matukio ya ukatili zaidi.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Mafunzo ya BVR Awamu ya Pili yazinduliwa

    May 14, 2025
  • Msigala Aagiza kutungwa kwa Sheria Ndogo Kudhibiti chumvi

    May 09, 2025
  • Ikungi Kinara wa Miradi Bora

    May 08, 2025
  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa