 Posted on: July 5th, 2022
 
            Posted on: July 5th, 2022
Ujenzi wa daraja la Faraja lililopo kijiji cha Makiungu katika kata ya Makiungu. Ujenzi huu unasimamiwa na TARURA Ikungi. Daraja linaendelea kujengwa kwa kasi kubwa ambapo wananchi watafaidika kwa kuongeza uchumi kwani mazao yatasafirishwa bila kikwazo chochote
 
  
          
                              
                              
                            Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi
Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania
Simu ya mezani: +255262964037/6
Mobile:
Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz
Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa