• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Maadhimisho ya Kilele cha wiki ya maji kufanyika katika kijij cha Ntewa Wilayani Ikungi

Posted on: March 22nd, 2018

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Singida Mwandisi. Jackson Masaka akiwa na Viongozi mbali mbali kutoka Singida Manispaa,Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Manyoni,  Itigi, na wananchi wa kata ya Kituntu Wilayani Ikungi wameadhimisha Kilele cha wiki ya maji Kimkoa yaliyofanyika kijiji cha Ntewa Kata ya Kituntu Wilaya ya Ikungi. Kauli Mbiu“HIFADHIMAJI NA MFUMO WA KIIKOLOJIA KWA MAENDELEO YA JAMII”.

Shughuliizi za Maadhimisho ya Kilele cha wiki ya maji zimeanza kwa uzinduzi wa Kioski cha maji katika eneo la Bima kilichojengwa na mamlaka ya maji na maji taka Singida mjini. Kioski hiki kimezinduliwa na  Katibu Tawala wa Mkoa waSingida Dkt. Angelina M. Lutambi.

Maadhimisho ya kilele cha wiki ya Maji hufanyika Tarehe 22/03 kila mwaka Nchini Tanzania.Aidha Asilimia ya 44.3 ya wakazi  waishio vijijini katika Mkoawa Singida wanapata huduma ya maji safi na salama. Idadi ya Vituo vya kuchoteamaji. Halmashauri ya Wilaya ya  Ikungi ina idadi ya vituo 766,  SingidaManispaa ina Idadi ya vituo 251,Halmashauri ya Wilaya ya Iramba ina idadi yavituo 719. Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama ina idadi ya vituo 468,  Halmashauriya Wilaya ya Singida  inavituo 716, Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni ina vituo 492,  Halmashauriya Wilaya ya Itigi ina idadi ya vituo 127 na Kaimu mkuu wa Mkoa amewapongeza waandisi wote wa Halmashauri za Wilaya zote za Mkoa wa Singida kwa kutekeleza Miradi mbali mbali ya Maji Mkoani Singida. Pia amewashukuru wananchi kwa ushirikiano wa kuadhimisha kilele cha wiki ya maji Wilayani Ikungi Mkoa waSingida.

VileVile Amewashauri kuacha kukata miti ili kuwa na mazingira bora. Amewaasa wananchi wa Kata ya kituntu kutupa shoka na kukamata mzinga kwa ajili ya kufuga nyuki ili kutunza mazingira, Kupata mvua ya kutosha pia kuhifadhi mfumo wa maji kwa maendeleo ya jamii.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa