• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Uzinduzi wa Chanjo ya Surua Ikungi Wafanyika mapema Hii Leo

Posted on: February 15th, 2024

Abushiri Juma amekuwa mtoto wakwanza kupata chanjo ya Surua na Rubella katika kituo cha Afya Ikungi aliyopatiwa na Muuguzi Lena Daudi katika uzinduzi wa chanjo hiyo uliofanywa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Ikungi Mhe.Radhid M.Rashid akiongozana na Ndg.Justice Kijazi Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Ikungi wakimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Thomas Apson.Akizungumza kabla ya kuzindua zoezi la chanjo hiyo katibu tawala amesema kuwa wilaya ya Ikungi ina jumla ya walengwa elf 55 ambao watapatiwa chanjo hiyo kuanzia leo tarehe 15 hadi tarehe 18 mwezi huu.Ameongeza na kusema jumla ya timu 80 zitafika katika maeneo yote Wilaya ya Ikungi kwaajili ya zoezi hili na kila timu itakuwa na mchanjaji, mtakwimu, na mhamasishaji ambaye jukumu lake ni kuhamasisha jamii kushiriki kupatiwa huduma hii"Nitumie fursa hii kuwaalika wananchi wenye watoto wenye umri wa Kuanzia miezi 9 hadi 59 kupata huduma ya chanjo kituo chochote Kilichopo karibu yake"amesema katibu tawala.Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi ametoa pongezi kwa wadau wote walioshiriki, kuitikia wito na kuonyesha utayari katika utekelezaji wa kampeni hii ya kitaifa katika Wilaya yetu ya Ikungi kukabiliana na magonjwa ya Surua na Rubella hasa kwa watoto wadogo"Tuondoe dhana zinazojengwa na watu wengine kuwa chanjo hizi zina madhara kwa watoto, Mama yetu Samia Suluhu anatupenda na amethibitisha kuwa hii chanjo ni muhimu kwa watoto wetu tuitumie kuwakinga thidi ya magonjwa haya ya mlipuko"amesema Mkurugenzi.Naye Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Dkt Dorisila ameleza kwamba zoezi hili limefadhiliwa na mfuko wa pamoja wa chanjo na kinga GAVI ambapo fedha zilizotengwa jumla ni Milioni 63.2 ya bajeti ya fedha zilisotengwa na Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi."Chanjo imekwisha sambazwa katika vituo vyote vya kutolea huduma hivyo ameagizi mratibu wa zoezi hilo kuhakikisha zoezi hili la siku tatu linaenda sawa na vifaa tiba vinapatikana muda wote" amezungumza Mganga Mkuu

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa