• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

viongozi washiriki zoezi la sensa

Posted on: August 23rd, 2022

VIONGOZI WASHIRIKI ZOEZI LA SENSA YA WATU NA MAKAZI.

 

Na Amour Eljabry Singida

Viongozi mbalimbali wa kitaifa tayari wameshafikiwa na zoezi la sense ya watu na makazi lililoanza rasmi tarehe 23/8/2022 ili kuwa chachu na mfano wa kuigwa kwa wananchi. Baadhi ya viongozi walioripotiwa kufikiwa na zoezi hilo ni pamoja na Rais wa jamhuri ya muungano wa T anzania Mhe. Samia Suluhu Hassani, Mawaziri mbalimbali , wabunge na viongozi mbalimbali wa kimkoa.

          Mkoani singida baahdi ya viongozi waliohesabiwa ni pamoja  mbunge wa Iramba ambaye pia ni waziri wa Fedha mh. Mwigulu  Nchemba, mkuu Wilaya ya Singida Mhandisi  Paskazi Mragili, Mkuu Wa mkoa wa singida Mhe. Peter serukamba na viongozi wengineo.

Akiongea baada ya kuhesabiwa nyumbani kwake Utemini Singida  mkuu wa mkoa wa Singida alisema

“usiku wa kuamkia tarehe 23 mwezi huu makarani wa sense wa mkoa wa singida walitembelea maeneo mbalimbali ikiwemo vituo vya basi, mahospitali, nanyumba za kulala wa genii li kuanza zoezi la sensa”

Naye mkuu wa wilaya ya Ikungi Mhe. Jerry C.Muro  ameshiriki zoezi la sensa ya watu na makazi kwa kuhesabiwa akiwa katika makazi yake Ikungi mkoani Singida.

Zoezi la kuhesabiwa limeongozwa na karani wa sensa ya watu na makazi Bi. Scovia mkempia deus akiwa pamoja na mwenyekiti wa kitongoji cha gairo kijiji cha Ikungi Bw. Justin Juma  Mghwai

Mkuu huyo wa wilaya  ametimiza takwa la kisheria la kuhesabiwa ametoaushirikiano kwa kujibu maswali yote  100 ipasavyo na watu wa kaya yake

Muro pia amewapongeza sana waratibu na wasimamizi wa zoezi hilo wakiwemo karani na mwenyekiti  kwakuf anya kazi yao kwa uadilif u na umakini mkubwa, wakiwa wakarimu na waungwana  katika uulizaji wa maswali

Ametoa rai kwa wananchi wote wa Ikungi kuendelea kuwapokea na kuwapa ushirikiano wa  kutosha makarani  wetu  wa sensa iii waweze kuif anya kazi hii kwa uaminif u na uadilif u mkubwa katika zoezi hili la sensa ya watu na makazi 2022

Picha na matukio

Karani wa sensa ya watu na makazi Bi. Scovia mkempia deus akiwa pamoja na mwenyekiti wa kitongoji cha Gairo kijiji cha Ikungi Bw. Justin Juma  Mghwai wakiwachukua taarifa  za sensa ya watu na makazi Nyumbani kwa  DC Muro

Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu NChemba NAYE ametiza zoezi la kuhesabiwa akiwa nyumbani kwake Iramba  Singida.

Mkuu wa mkoa wa Singida Mhe. Peter serukamba akiwa pamoja na karani wa sense baada ya kumaliza kuhesabiwa

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa