• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Wajasiriamali Kupata Mikopo Ikungi

Posted on: June 20th, 2025

Katika kikao cha kawaida cha wafanyabiashara Wilaya ya Ikungi cha kujadili maswala mbalimbali ya kibiashara Mkuu wa Wilaya Mhe. Thomas Apson amesema kuwa kuna umuhimu wa kutoa mikopo hasa kwa wajasiriamali ili kukuza biashara zao.

Wakijadili hii leo tarehe 20 Juni, 2025 katika kikao hicho amesisitiza wajasiriamali kupatiwa mikopo ili waweze kukuza mitaji yao.

DC Apson ameongezqa na kuseama kuwa wafanya biashara pia wanapaswa kulipa kodi kwani adhima ya serikali ni kuhakikisha kila mwananchi anainuka kiuchumi

“Hata hivyo Kupitia kodi zenu miradi mbalimbali inaweza kujengwa katika maeneo kadha wa kadha hivyo kulipa kodi ni muhimu" amesisitiza DC Apson

Baraza hilo pia limejadili yatokanayo maazimio ya kikao cha biashara cha tarehe 16 Januari, 2025 juu ya mapendekezo ya kuwekwa kwa mazingira mazuri (shades) kituo cha wafanyabiashara kideka, kubadili aina ya mazao na kupendekeza kilimo cha biashara kama alizeti na mazao mengine ya biashara mashamba ya Issuna, kufanya mkutano wa kimataifa kupitia mitandao ikihusisha TIC na wadau mbalimbali wa biashara pamoja na kuwa na soko la madini katika Wilaya ya Ikungi na maazimio hayo yote yametekelezwa kama ilivyoazimiwa.

Akiwasilisha taarifa kutoka divisheni ya biashara juu ya mfumo wa ukusanyaji wa mapato kwa wafanyabiashara, Afisa Biashara Bi- Mariam Juma Abdallah Wilaya ya Ikungi ameeleza uwepo wa mfumo mpya wa ukusanyaji wa mapato TAUSI katika ngazi ya serikali za mitaa unavyofanya kazi na faida zake kwa wafanyabiashara kuwa inarahisisha ulipaji wa kodi na kupata mikopo kirahisi.

Naye Afisa Biashara Greceana Msofe amesema kuwa serikali imeanzisha mfumo wa vitambulisho vya wajasiriamali wadogo chini ya wizara ya maendeleo ya jamii ikilenga kuwafikia makundi maalumu kama vile Mama ntilie, Babantilie, Boda boda pamoja na bajaji

“Hivyo vitasaidia wafanyabiashara kupata mikopo kwa urahisi na usajili wake unamashariti machache kama kuwa na nambari ya nida, namba ya Simu ambavyo vitatumika kama dhamana.”amefafanua Greceana.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Ziara ya Ukaguzi wa Miradi Siku 10 Kabla ya Mwenge, RC Dendego Apongeza

    July 12, 2025
  • Ripoti ya Utafiti wa Msitu wa Minyughe Yatolewa, Matarajio Mema Ikungi

    July 10, 2025
  • Elimu Itolewe Mfumo wa Stakabadhi Ghalani

    July 09, 2025
  • Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo ya Mifugo Yazinduliwa Rasmi

    July 08, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa