• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Wananchi Zingatia Utaratibu wa Kumiliki Ardhi Kuepuka Migogoro: DC APSON

Posted on: June 11th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mheshimiwa Thomas Apson awaomba wananchi kuzingatia utaratibu wa kumiliki ardhi ili kuepukana na migogoro isiyo ya lazima.

Hayo yamesemwa katika kliniki ya kusikiliza na kushughulikia kero za wananchi tarehe 11 Juni, 2025 ambayo inafanyika kila juma tano ofisi ya Mkuu wa Wilaya ikiwa na lengo la kuhakikisha wananchi wanatatuliwa kero zao.

Mkuu wa Wilaya amesema kuwa kumekuwa na wimbi kubwa la wananchi wanaoingia katika migogoro kwa sababu ya ardhi na hii ni kutokana na uwepo wa watu wachache wanaojipatia ardhi kwa njia za udanganyifu na wengine kutokufuata sheria za ardhi na hivyo kujikuta katika migogoro isiyoyalazima.

“Natoa maagizo serikali za vijiji kufuata sheria kwa kushirikiana vyema na wajumbe wa Halmashauri pale inapotokea eneo linataka kuuzwa au kununuliwa ili kutengeneza muhutasari wa vikao vya mauziano hayo na sio kuwaachia wenyeviti wa vitongoji kuidhinisha mauzo ya ardhi” amesema Mhe. Apson

Kwa upande wake Afisa Ardhi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndugu Ambrose Ngonyani amesema kuwa Halmashauri ya kijiji ni mamlaka ya serikali za mitaa yenye wajibu wa kusimamia ardhi yote ya kijiji.

“Hivyo katika kutekeleza wajibu wake, Halmashauri ya kijiji itabidi kuzingatia ushauri, mamlaka, uwezo, madaraka, haki na wajibu wa taasisi na mamlaka nyingine zilizotambuliwa na sheria kuhusiana na ardhi.” Amefafanua Afisa Ardhi

Ambrose ameongeza na kusema kuwa Halmashauri ya kijiji inafanya kazi kama mdhamini kwa niaba ya wanufaika, hiyo chombo chenye madaraka ya mwisho katika usimamizi wa ardhi ya kijiji ni mkutano mkuu wa kijiji na ugawaji wote wa ardhi ya kijiji lazima uthibitishwe na mkutano mkuu wa kijiji.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Wachimbaji Wadogo Watakiwa Kuijua Sheria ya Madini na Kanuni Zake

    June 22, 2025
  • Wajasiriamali Kupata Mikopo Ikungi

    June 20, 2025
  • Watendaji wa Vijiji Wanaoshindwa Kutimiza Wajibu Wao Waonywa

    June 18, 2025
  • Hoja 19 Kufungwa Ifikapo Tarehe 19 Juni Mwaka Huu

    June 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa