• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Wanaume Kuongozana kliniki na wake zao,Wizara ya Afya Yatoa Mwonozo

Posted on: December 12th, 2024

Timu ya usimamizi na uendeshaji wa huduma za afya mkoa na wilaya imeagizwa kuhakikisha huduma za afya zinawafikia wanajamii wote kwa usawa ikiwa ni pamoja na kushirikisha wanaume kikamilifu ili kuboresha afya zao wenyewe, afya za wanawake, watoto na vijana.

Hayo yamesemwa leo tarehe 12 Disemba, 2024 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi kwenye warsha yenye lengo la kuimarisha huduma za afya kwa kushirikisha wanaume katika huduma za afya ya uzazi, mama na watoto.

Bi-Desteria Nanyanga Mwakikishi kutoka Wizara ya Afya akito mafunzo amesema kuwa warsha hii ni muhimu kwani wanaume ndio watoa maamuzi katika familia na hii itasaidia kuvunja vikwazo vya kitamaduni, kuboresha huduma za afya ya uzazi kwa vijana, kupunguza ukatili wa kijinsia na kuhakikisha kuwa wanawake na watoto wanapata msaada muhimu wakati wa ujauzito, kujifungua, na baada ya kujifungua.

Kwa upande wake kaimu mganga mkuu wa mkoa wa Singida Bi Teda David Sinde akifungua warsha hiyo amesema kuwa matarajio yake mara baada ya warsha hiyo ni kuwa na uelewa wa pamoja kuhusu ushiriki wa wanaume katika afya ya uzazi, mama na mtoto, kuboresha huduma za afya katika wilaya ya Ikungi na kutumia vyema uzoefu wao kutoa maoni ili mpango huu uweze kufanikiwa.

"Aidha, tunakusudia kuwasilisha na kukusanya maoni na mapendekezo yenu ili kuboresha mwongozo huu na kuhakikisha unafaa kwa utekelezaji ngazi ya mkoa, Halmashauri na jamii kwa ujumla" amezungumza Mganga Mkuu.

Kwa upande wake Bi-Nkinda Shekalagwe mwakilishi kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI akiahiridha warsha hiyo amesema kuwa wote tuliopata elimu hiyo waende kuwa walimu wazuri kwa wenzao ili kuhakikisha huduma za afya wilaya ya Ikungi inakuwa vizuri upande wa afya ya uzazi na lishe.

Baadhi ya wajumbe wakitoka maoni yao katika warsha hiyo wamesema changamoto imekuwa ni umbali na uchache wa vituo vya kutolea huduma za afya, Mila na tamaduni za baadhi ya makabila juu ya mwanamke na mwanaume kuongozana kwenda vituo vya afya ambapo azimio limekiwa ni kutoa elimu kwa jamii kufuta dhana mbalimbali potofu zilizopo ili kuboresha huduma za afya. 

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Wachimbaji Wadogo Watakiwa Kuijua Sheria ya Madini na Kanuni Zake

    June 22, 2025
  • Wajasiriamali Kupata Mikopo Ikungi

    June 20, 2025
  • Watendaji wa Vijiji Wanaoshindwa Kutimiza Wajibu Wao Waonywa

    June 18, 2025
  • Hoja 19 Kufungwa Ifikapo Tarehe 19 Juni Mwaka Huu

    June 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa