• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

wanawake nma wasichana wanufaika na miradi ya UNWOMEN,UNFPA na halmashauri ya wilaya ya ikungi kwa ufadhil wa KOICA

Posted on: November 15th, 2022

Meneja wa Program kutoka KIWOHEDE amewasilisha taarifa ya utekelezaji akianisha shughuli zilizotekelezwa ambazo ni kuanzisha klabu mbili katika vijiji vya Irisya na Munyu ,kujenga kituo Jumuisho (OSC)ikungi ,kufanya Mkutano wa Mwezi kujadili masuala ya kushughulikia matukio ya Ukatilii wa wa kijinsia na kutoa mafunzo ya stadi za maisha ,ujasiliamali na uongozi kwa wasichana %) watakao jiunga na klabu za wasichana na kuwapeleka katika chuo cha ufundi Mwakata kahama Shinyanga .

Aidha amewasilisha taarifa ya kazi zilizopangwa kufanywa katika kipindi cha Julai hadi septemba 2022 ambazo ni kukamilisha ujenzi wa kituo jumuishi ikungi na kujenga kituo

jumuishi (One stop centre)katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida


Nae mratibu wa Taasisi ya TAHA,amewasilisha taarifa ya shughuli zilizotekelezwa ,ambazo ni kutoa mafunzo ya kilimo bora cha uzalishaji wa mbogamboga na maembe kwa wakulima 179(ke 158 na Me 21).


Pia Halmashauri idara ya kilimo ,ardhi na maendeleo ya jamii wamewasilisha taarifa ya shughuli zilizofanyika ,ambazo ni kuimarisha vikundi vya wanawake na wasichana kwa kuvijengea uwezo wa namna bora ya uendeshaji wa vikundi hivyo na kuongeza uzalishaji wa bidhaa ambapo mkopo wa Tsh 3,000,000.00 umetolewa kwa vikundi,kutoa elimu ya jinsia kwa jamii.

Pia ameelezea kuwa zoezi la ugawaji wa pikipiki zilizotoka TAHA kwa Maafisa Ugani limefanyika na kuandaa hati miliki za kimila zipatazo 6100.

Pia amewasilisha changamoto zilizo kabili utekelezaji ambazo ni upungufu wa rasilimali fedha ili kuwezesha vinara wa jinsia (Gender champions)kufika maeneo /vitongoji vilivyo mbali kwa ajili ya kuhamasisha usawa wa kijinsia .

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Wachimbaji Wadogo Watakiwa Kuijua Sheria ya Madini na Kanuni Zake

    June 22, 2025
  • Wajasiriamali Kupata Mikopo Ikungi

    June 20, 2025
  • Watendaji wa Vijiji Wanaoshindwa Kutimiza Wajibu Wao Waonywa

    June 18, 2025
  • Hoja 19 Kufungwa Ifikapo Tarehe 19 Juni Mwaka Huu

    June 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa