• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Wanyabiashara Kulipa Kodi Makiungu Bado Fumbo

Posted on: September 24th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg. Kastori Msigala awataka wafanya biashara kufata taratibu pindi wanapoanzisha biashara zao ili kuepuka usumbufu usiowalazima.

Akifanya ukaguzi wa leseni na Service Levy kwa kushirikiana na wakuu wa Idara na vitengo pamoja na kamati ya mapato leo tarehe 24 Septemba, 2025 maeneo ya biashara mbalimbali Makiungu, amebaini upotevu wa mapato kutokana na baadhi ya wafanya biashara kukwepa ulipaji kodi.


Mkurugenzi amesema kuwa hatua za kisheria zitachukuliwa ikiwa ni pamoja na kufungwa kwa biashara zao endapo watakiuka taratibu zinazowekwa kisheria na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa upande wake Afisa Biashara Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Bi-Happiness Edward amesisitiza kuwa kila mfanyabiashara apate elimu juu ya umuhimu wa leseni ya biashara inayotolewa kupitia mfumo wa TAUSI PORTAL na viambatanisho vinavyotakiwa ni pamoja na namba ya NIDA, TIN namba, mkataba wa pango au hati ya kiwanja na Tax Clearance.

“Elimu hii tutaendelea kuitoa kwenye Kata mbalimbali ili mfanyabiashara anapotaka kufanya kazi afanye bila usumbufu kwani leseni ni kitu muhimu kwenye biashara yeyote” amezungumza Afisa Biashara.


Ziara hiyo pia imepita kukagua miradi mbalimbali ya ujenzi ikiwa nipamoja na Shule mpya ya sekondari Kinku, Shule ya msingi shikizi Muve, ujenzi wa vyoo Stendi ya Makiungu pamoja na ujenzi wa kituo cha afya katika kijiji cha Minyinga, ambapo baadhi ya miradi ipo hatua za ukamilishaji na mingine katika hatua za awali.

DED Msigala ameagiza miradi ambayo ipo hatua za awali ianze haraka na ikamilike kwa wakati na ambayo ipo katika hatua za ukamilishaji izingatie ubora kutokana na maelekezo ya serikali.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Msongamano wa Wanafunzi Darasani Sasa Basi

    September 25, 2025
  • Msongamano wa Wanafunzi Darasani Sasa Basi

    September 25, 2025
  • Wanyabiashara Kulipa Kodi Makiungu Bado Fumbo

    September 24, 2025
  • Sipo Tayari Kufumbia Macho Uzembe wa Wachache DED Ikungi

    September 19, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa