• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha

WATOTO ZAIDI ELFU 97 KUFIKIWA NA CHANJO YA POLIO IKUNGI.

Posted on: December 1st, 2022

Mkuu wa wilaya ya ikungi Mhe. Jerry C. Muro amezindua zoezi la chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa hatari wa kupooza (POLIO) linalolenga kutoa chanjo kwa watoto 97, 575 katika wilaya ya Ikungi


Mhe. Muro amesema hayo wakati akizindua zoezi la chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa hatari wa polio katika ngazi ya wilaya kwenye kituo cha afya ikungi ambapo amesema wamejipanga kuhakikisha vijiji vyote 101 vinafikiwa katika zoezi hilo ambalo amewataka watumishi kuhakikisha wanatoa chanjo kwa kuzingatia idadi ya watoto wote waliopo kwenye wilaya wanafikiwa kikamilifu


Awali Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ikungi Mhe. Ali Juma Mwanga amesema Halmashauri tayari imeshahakikisha vifaa vyote na watumishi wote wanaotakiwa kuwemo kwenye zoezi hilo wanafika katika maeneo yao na tayari vifaa na watumishi wote wa zoezi wameshafika katika vituo hivyo


Kwa upande wake mganga mkuu wa wilaya Dr. Solomon Michael amesema zoezi litaendeshwa kwa kuzingatia kanuni na miongozo yote iliyotolewa na kuwaomba wazazi kuhakikisha wanashirikiana na timu za ufuatiliaji katika kutoa taarifa zitakazowawezesha kuwafikia watoto wote katika maeneo ya vijiji na vitongoji vyote na kusisitiza viongozi wa vijiji kusaidiana na wataalamu kufanikisha zoezi hilo


 Tazama picha na matukio

Matangazo

  • MPYA!MPYA! Kuitwa kwenye usaili wa kazi ya Sensa na watu na Makazi July 17, 2022
  • TAARIFA MUHIMU KUTOKA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU (NBS) KUHUSU MAANDALIZI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 July 29, 2022
  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA WATANZANIA WOTE WENYE SIFA ZA KUOMBA KAZI May 25, 2022
  • View All

Habari mpya

  • KAMATI YA FEDHA NA MAENDELEO YAKAGUA MIRADI YA SWASH ZAHANATI 3 WILAYA YA IKUNGI.

    January 23, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IKUNGI YATENGA MILIONI 187 KWA AJILI YA KUKOPESHA VIKUNDI VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU.

    January 24, 2023
  • MAFUNZO YA kemikali ya sumu yatolewa na SHANTA.

    January 24, 2023
  • IKUNGI YAPOKEA VISHIKWAMBI 1,496 KWA AJILI YA WALIMU NA MAAFISA ELIMU.

    January 23, 2023
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa