• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

WATOTO ZAIDI ELFU 97 KUFIKIWA NA CHANJO YA POLIO IKUNGI.

Posted on: December 30th, 2022

Mkuu wa wilaya Mhe. Jerry Murro amezindua zoezi la chanjo ya polio ya matone tarehe 30 novemba 2022,katika uzinduzi huo Jerry Muro amesema kuwa watoto wote wenye umri wa miezi 0 hadi 59 wanapata chanjo ili kufikia hatua ya kinga ,kutokana na maelezo hayo amesema kuwa tusiangalie asilimia tu bali tuhakikishe tumewafikia watoto wote .”lengo kutokomeza ugonjwa wa ulemavu wa viungo wa ghafla (polio)”.alisema Muro.


Muro ameongeza na kusema kuwa tuhakikishe jamii inakua na uelewa juu ya chanjo ya polio na hasa kwa kutambua madhara yatokanayo na ugonjwa huo.

Katika uzinduzi huo Afisa Afya wa Wilaya Ndg Abiud Abiud amesema kuwa awamu hii tumepokea kiasi cha 101,000 za chanjo ya polio ya matone,na kiwango hiki cha chanjo kinaendana na walengwa waliochanjwa awamu ya tatu ambao ndio walengwa wa awamu ya nne ambao ni 95575.


Pia amesema kuwa Timu 46 zitatoa chanjo kituoni na timu 1756 zitatoa chanjo nyumba kwa nyumba.”chanjo ya polio ya matone itaanza kutolewa kuanzia tarehe 1/12/2022 hadi tarehe 4/12/2022.”Alisema Abiud


Aidha Abiud amesema kuwa kutakuwa na wasimamizi wa hizo timu 54 ambao watasimamia timu hizo 221 na wasimamizi 4 ambao ni wataalam watapita kila tarafa kufanya tathimini ya Watoto ambao hawajapata chanjo,wasimamizi hao watakuwa wanaingiza taarifa za uchanjaji za kila siku kwenye mfumo kupitia simu janja na kutuma moja kwa moja wizarani kupitia mfumo wa ODK collect.


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndg Richard Rwehumbiza amesisitiza kuwa viongozi wa dini na wazee maarufu wahamasishe zoezi hili la chanjo ya polio kikamilifu “ ili tufanikiwe hilo,uwajibikaji,ushirikiano na kijituma kati yetu kwa cheo na uwezo na tuliojaaliwa iwe ni chachu ya mafanikio ya zoezi hili lililoko mbele yetu.”Alizungumza Mkurugenzi.

Awali Mwenyekiti wa Halmashauri wa Wilaya ya Ikungi Mhe Ally J. Mwanga,Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Winfrida Funto pamoja na Makamu Mwenyekiti Stehphano Mtyana walisisitiza viongozi kushiriki kikamilifu kuhamasisha zoezi hili.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Wachimbaji Wadogo Watakiwa Kuijua Sheria ya Madini na Kanuni Zake

    June 22, 2025
  • Wajasiriamali Kupata Mikopo Ikungi

    June 20, 2025
  • Watendaji wa Vijiji Wanaoshindwa Kutimiza Wajibu Wao Waonywa

    June 18, 2025
  • Hoja 19 Kufungwa Ifikapo Tarehe 19 Juni Mwaka Huu

    June 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa