• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Waziri Aweso ayasaka maji kwa Helkopta Wilaya ya Ikungi -Singida

Posted on: July 24th, 2024

WAZIRI AWESO AYASAKA MAJI KWA HELKOPTA WILAYA YA IKUNGI-SINGIDA.

Waziri wa Maji Mhe.Juma Aweso ameipongeza Kampuni ya AL FRADAWS Investment Company Limited kutoka Jordan inayofanya uwekezaji katika kilimo Wilayani Ikungi Mkoa wa Singida kuleta suluhisho la upatikanaji wa maji kwa njia rahisi zaidi.


Katika ziara yake hii leo tarehe 27 Julai, 2024 katika mashamba hayo ya uzalishaji wa mbegu mbalimbali kijiji cha Choda wilayani Ikungi amesema amefurahishwa na kampuni hiyo kwa kuja na Suluhisho katika upatikanaji maji kupitia teknolojia ya Pivot Irrigation System.


Waziri wa Maji Mhe.Juma Aweso amesema Teknolojia ambayo inatumiwa na Wizara ya Maji kwa sasa haina uwezo mkubwa wakujua ni wapi maji yanapatika, umbali au kina Cha maji na ubora wa maji hayo kwa afya ya mwanadamu ukilinganisha na Kampuni hiyo ambayo inauwezo wakufanya yote haya kabla ya kuchimba ndani na yupo tayari kuwapa ushirikiano kuhakikisha Wilaya ya Ikungi na maeneo mengine Mkoa wa Singida na Tanzania kwa ujumla wanapata maji yakutosha kupitia teknolojia hiyo.


Kwa upande wake mwekezaji huyo amesema kuwa zaidi ya Bilioni 81 za kitanzania zimetumika kuwekeza katika eneo hilo na changamoto kubwa imekuwa ni maji hivyo endapo Wizara itasaidia kutatua changamoto hiyo uzalishaji utakuwa mkubwa zaidi.


"Tumejipanga kuzalisha mbegu za mazao mbalimbali na kulima mazao kama mahindi alizeti, viazi , vitungu pamoja na soya na tutaendelea zaidi kadri muda utakavyokwenda." amezungumza Muwekezaji huyo


Katika ziara hiyo Mhe Waziri ameambatana na viongozi mbalimbali wa Wilaya ikiwa ni pamoja na Kamati ya ulizi na usalama Wilaya Ikungi, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi pamoja na viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi wamepongeza ujio wa kampuni hiyo kwani inaenda kuleta natokeo chanya katika sekta ya ajira kilimo na ajira nchini


Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Mafunzo ya BVR Awamu ya Pili yazinduliwa

    May 14, 2025
  • Msigala Aagiza kutungwa kwa Sheria Ndogo Kudhibiti chumvi

    May 09, 2025
  • Ikungi Kinara wa Miradi Bora

    May 08, 2025
  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa