• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Waziri wa Maliasiri na Utalii Afika Wilaya ya Ikungi,Hatua Zachukuliwa Kudhibiti Tembo.

Posted on: October 28th, 2024

Baadhi ya wananchi Kijiji cha Mkiwa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida waiomba serikali kuwawezesha vijana wa kijiji hicho kupata mafunzo maalumu ya jinsi ya kukabiliana na tembo waharibifu katika maeneo yao.

Hayo yamesemwa hii leo tarehe 28 Octoba, 2024 katika mkutano wa Waziri wa Maliasiri na Utalii Balozi Mhe Dkt Pindi Chana na wananchi wa eneo hilo  ambapo amefika katika Kijiji hicho mara baada ya kuwa na matukio ya uharibifu wa mazao na makazi katika baadhi ya maeneo ya Kijiji chicho ambayo pia ni shoroba (Jia) za tembo.

Aidha Waziri wa Maliasiri na Utalii Balozi Mhe Dkt Pindi Chana ametoa maelekezo ya serikali kwa lengo la kutatua janga hilo moja ikiwa ni kuzitambua korido za tembo kwa kushirikiana na wananchi, kuongeza askari wanyama pori 18 na kutoa elimu kwa wananchi ili kukabiliana na tembo hao, kuongeza vifaa maalumu vya Kudhibiti na kuswaga tembo kuelekea maeneo ya hifadhi, kuwa na Mipango ya matumizi bora ya ardhi ili kutatua changamoto kwa wananchi wa eneo hilo.

Pia amepongeza juhudi za serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kwa kuona vyema kuwa na wizara ya Maliasiri na Utalii katika nchi yetu kwa lengo la kuhakikisha wanyama pori wanakuwa sehemu salama bila kuathiri miundombinu pamoja na mazao ya wananchi.

Hata hivyo Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Thomas Apson ameipongeza wizara hiyo kwa kuona vyema kuja kuzungumza na wananchi wa Kijiji cha Mkiwa ili kutatua tatizo hilo ambalo wananchi wamekuwa wakihitaji usaidizi wa karibu kutoka wizara hiyo ya Maliasiri na Utalii.

Kamishna msaidizi mwandamizi wa uhifadhi kanda ya kati, Ndg. Herman Nyanda, akisoma taarifa mbele ya  waziri wa Maliasiri na Utalii amesema kuwa jumla ya askari 19 Mkoa wa Singida ikiwa ni askari wanne wilayani Ikungi wamepatiwa mafunzo ya kukabiliana na wanyama pori waharibifu.

"Hata hivyo serikali kupitia TAWA mnamo tarehe 15 Octoba 24 imetoa mafunzo kwa askari Jeshi la akiba Mgambo 94 wilayani hapa kwa lengo la kukabiliana na janga hilo" amezungumza kamishina huyo.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa