• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Wilaya ya Ikungi Yang'ara kwa Ujenzi wa Zahanati Vijijini

Posted on: October 26th, 2023

Wananchi wa Wilaya ya Ikungi wapongeza juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan akishirikiana na uongozi wa wilaya  kwa kuwezesha ujenzi wa miradi ya huduma za Afya kama Vituo vya afya na zahanati karibu kila kijiji lengo ikiwa ni kutatua changamoto za wananchi kutembea umbali mrefu kutafta huduma wilayani Ikungi.Wananchi wameongeza na kusema kuwa hali ya kuwepo kwa zahanati vijijini itasaidia kupunguza changamoto mbalimbali za kinamama wajawazito na watoto waliokuwa wakipata adha kutokana na umbali wa huduma za afya.Hayo yamesemwa leo Tarehe 26 Octoba 2023 Katika ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe.Peter Serukamba alipotembelea Zahanati mpya ya Kijiji cha  Mlandala na kuweka jiwe la msingi Zahanati mpya ya kijiji cha Songandogo kabla ya kupata wasaa wa kuzungumza na wananchi na kusikiliza kero zao."Ipo haja ya kumpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri  ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi kwa kutoa fedha kupitia mapato ya ndani ili kukamilisha maboma hayo mawili ambayo yalianzishwa kwa nguvu za wananchi na natoa maagizi zahanati hizi zianze kutumika mara moja ifikapo juma tatu ya Tarehe 30"Amesema Mkuu wa mkoa.Akisoma taarifa mbele ya Mkuu wa Mkoa Kaimu Mganga mkuu wa Wilaya Ndg  Kikoti amesema gharama za kukamilisha ujenzi wa Zahanati ya Songandogo ni milioni 50 kutoka serikali kuu,Milioni 15 kutoka Mapato ya ndani ya Halmashauri ambapo Boma lilijengwa na nguvu za wananchi Pia Serikali kuu imetoa milioni 50 kumalizia boma la zahanati ya Mlandala lililojengwa kwa nguvu za wananchi  na milioni 14 ni kutoka Mapato ya ndani ya Halmashauri.Naye kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Ikungu Mhe Rashid M.Rashid akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya Ikungi Mhe.Thomas Apson  amemalizia na kusema kuwa katika msimu huu wa kilimo serikali imejipanga kuleta mbolea na mbegu za ruzuku na itahakikisha kila kata wanapata kwa wakati ili kuanza kilimo chenye tija kukuza sekta ya kilimo Ikungi.MWISHOImetolewa na:Afisa Habari Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi26/10/2023WILAYA YA IKUNGI YANG'ARA KWA UJENZI WA ZAHANATI VIJIJINIWananchi wa Wilaya ya Ikungi wapongeza juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan akishirikiana na uongozi wa wilaya  kwa kuwezesha ujenzi wa miradi ya huduma za Afya kama Vituo vya afya na zahanati karibu kila kijiji lengo ikiwa ni kutatua changamoto za wananchi kutembea umbali mrefu kutafta huduma wilayani Ikungi.Wananchi wameongeza na kusema kuwa hali ya kuwepo kwa zahanati vijijini itasaidia kupunguza changamoto mbalimbali za kinamama wajawazito na watoto waliokuwa wakipata adha kutokana na umbali wa huduma za afya.Hayo yamesemwa leo Tarehe 26 Octoba 2023 Katika ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe.Peter Serukamba alipotembelea Zahanati mpya ya Kijiji cha  Mlandala na kuweka jiwe la msingi Zahanati mpya ya kijiji cha Songandogo kabla ya kupata wasaa wa kuzungumza na wananchi na kusikiliza kero zao."Ipo haja ya kumpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri  ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi kwa kutoa fedha kupitia mapato ya ndani ili kukamilisha maboma hayo mawili ambayo yalianzishwa kwa nguvu za wananchi na natoa maagizi zahanati hizi zianze kutumika mara moja ifikapo juma tatu ya Tarehe 30"Amesema Mkuu wa mkoa.Akisoma taarifa mbele ya Mkuu wa Mkoa Kaimu Mganga mkuu wa Wilaya Ndg  Kikoti amesema gharama za kukamilisha ujenzi wa Zahanati ya Songandogo ni milioni 50 kutoka serikali kuu,Milioni 15 kutoka Mapato ya ndani ya Halmashauri ambapo Boma lilijengwa na nguvu za wananchi Pia Serikali kuu imetoa milioni 50 kumalizia boma la zahanati ya Mlandala lililojengwa kwa nguvu za wananchi  na milioni 14 ni kutoka Mapato ya ndani ya Halmashauri.Naye kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Ikungu Mhe Rashid M.Rashid akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya Ikungi Mhe.Thomas Apson  amemalizia na kusema kuwa katika msimu huu wa kilimo serikali imejipanga kuleta mbolea na mbegu za ruzuku na itahakikisha kila kata wanapata kwa wakati ili kuanza kilimo chenye tija kukuza sekta ya kilimo Ikungi.MWISHOImetolewa na:Afisa Habari Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi26/10/2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa