• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

WITO WATOLEWA KUHUSU ULIPAJI WA LESENI NA KODI KWA WAKATI.

Posted on: November 27th, 2025

Baraza la Wafanyabiashara Wilaya ya Ikungi limekutana leo Alhamisi, Novemba 27, 2025, katika Ukumbi wa Halmashauri, likiwa na lengo la kujadili namna ya kuboresha mazingira ya biashara na kuongeza mapato ya serikali.

Akifungua kikao hicho kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Mhe. Thomas Apson, Afisa Mazingira, Bw. Richard Rwehumbiza amesema kuwa biashara ndiyo chanzo muhimu cha mapato ya serikali, hivyo ni vyema elimu juu ya umuhimu wa kulipa kodi na leseni kutolewa kwa wafanyabiashara ili kuchochea maendeleo ya wilaya.

“Biashara ndiyo inaleta mapato ya serikali. Hivyo elimu ya kodi na leseni ni muhimu ili tuweze kupata maendeleo ya kweli,” amesema Rwehumbiza.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ikungi, Ndg. Niceforus Mgaya, amesema kuwa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 imeainisha biashara na uwekezaji kama nguzo muhimu ya uchumi wa nchi na kuongeza kuwa ni muhimu wafanyabiashara kushirikiana na maafisa wa halmashauri kwa hekima na busara, huku akiahidi kuboresha mifumo ya mawasiliano ili kuwasaidia wafanyabiashara kukumbushwa kwa wakati kuhusu wajibu wao.

Pia, Afisa Biashara , Bi. Mariam Abdallah, amewataka wafanyabiashara kuhakikisha wanalipia leseni zao mapema na kuwakumbusha wafanyabiashara wa masuala ya burudani kujisajili kupitia mfumo wa AMIS – BASATA ili kurahisisha taratibu za uendeshaji wa shughuli zao.


Naye Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya ya Ikungi, Ndg. Kurwa Shilinde, amesema ni wakati muafaka kwa halmashauri kusaidia katika kuainisha fursa za biashara, kutenga maeneo ya uwekezaji, pamoja na kutoa elimu ya mara kwa mara ili kuwawezesha wafanyabiashara kutimiza wajibu wao katika kuisaidia serikali kuboresha uchumi wa wilaya.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Bima ya Afya kwa Wote, Neema Ikungi

    January 09, 2026
  • Maagizo Yatolewa Ukamilishaji wa Miradi

    January 07, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Singida afanya ziara ya kukagua miradi Ikungi

    December 15, 2025
  • Ikungi Yapatiwa Trekta 15 Msimu wa Kilimo

    December 02, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa