• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Ziara ya Siku Moja Vijiji 16 Wilaya ya Ikungi Yawafikia Wakulima

Posted on: November 16th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe Peter Serukamba amewataka wananchi kuongeza maeneo ya kulima ili kuwa na uhakika wa mazao ya kutosha kwa ajili ya chakula na biashara.Hayo ameyasema leo Tarehe 16 Novemba 2023 katika ziara yake ya siku moja ya kutembelea vijiji 16 katika Wilaya ya Ikungi kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo,kuzungumza na wananchi na kusikiliza kero zao.Mkuu wa Mkoa amesema kuwa ipo haja kuongeza maeneo ya kulima kwani Serikali kupitia Viongozi wa Halmashauri imelipia mbegu na mbolea ya ruzuku kwa ajili ya wakulima ambayo itawafikia pale walipo kwa bei nafuu."Nakuagiza Afisa kilimo kuanzia Jumamosi ya Tarehe 18 mwezi huu kuleta mbolea kata ya Mgungira na kata zote jirani na hapa ili wananchi wanunue mbolea na Mbegu hiyo kwani kuna uhitaji."Amesema Mkuu wa Mkoa.Aidha katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa amepongeza Juhudi za Wilaya na Halmashauri kushirikiana katika kukamilisha miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kutumia Mapato ya ndani ya Halmashauri hasa Sekta ya Afya, ili kuepusha vifo na maradhi mbalimbali yasiyo yalazima."Mwankalaja wameomba Zahanati Kaimu Mkurugenzi lichukue hilo naamini mtaweza kulifikiria ili kuondoa adha kwa wananchi hawa"Amesema Mkuu wa MkoaAkijibu Moja ya swali ambalo liliulizwa katika  vijiji vingi Mratibu Miradi ya REA Wilaya ya Ikungi Lucy Darabe amesema kuwa Wakala wa Nishati ya Umeme Vijijini (REA) unatekeleza mradi  katika vijiji  57  Wilaya ya Ikungi sawa na Km 454.21 za msongo wa kati na Km 162.43 za msongo mdogo,ambapo vijiji 41 vimewashiwa Umeme na wananchi wanaendelea kutumia nishati ya Umeme wateja wapya wanaendelea kuunganishiwa Umeme kufikia Tarehe 30 ya mwezi Desemba 2023 vijiji vyote vilivyosalia vitakua vimewaka umeme kama maagizo ya Mkuu wa Mkoa yalivyo.Baadhi ya Miradi iliyotembelewa katika Ziara ya Mkuu wa Mkoa ni pamoja na Ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari Iyumbu,Ujenzi wa Vyoo,Mradi wa Maji Iyumbu,Ujenzi wa Kituo cha Polisi Magungumka,Kuzungumza na Wavuvi waliopata majanga ya Moto kambi ya Ufana,kutembelea zahanati na kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua papo hapo na zingine kuzibeba kwa ajili ya utekelezaji MWISHOImetolewa na;Afisa Habari Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi16/11/202Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe Peter Serukamba amewataka wananchi kuongeza maeneo ya kulima ili kuwa na uhakika wa mazao ya kutosha kwa ajili ya chakula na biashara.Hayo ameyasema leo Tarehe 16 Novemba 2023 katika ziara yake ya siku moja ya kutembelea vijiji 16 katika Wilaya ya Ikungi kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo,kuzungumza na wananchi na kusikiliza kero zao.Mkuu wa Mkoa amesema kuwa ipo haja kuongeza maeneo ya kulima kwani Serikali kupitia Viongozi wa Halmashauri imelipia mbegu na mbolea ya ruzuku kwa ajili ya wakulima ambayo itawafikia pale walipo kwa bei nafuu."Nakuagiza Afisa kilimo kuanzia Jumamosi ya Tarehe 18 mwezi huu kuleta mbolea kata ya Mgungira na kata zote jirani na hapa ili wananchi wanunue mbolea na Mbegu hiyo kwani kuna uhitaji."Amesema Mkuu wa Mkoa.Aidha katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa amepongeza Juhudi za Wilaya na Halmashauri kushirikiana katika kukamilisha miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kutumia Mapato ya ndani ya Halmashauri hasa Sekta ya Afya, ili kuepusha vifo na maradhi mbalimbali yasiyo yalazima."Mwankalaja wameomba Zahanati Kaimu Mkurugenzi lichukue hilo naamini mtaweza kulifikiria ili kuondoa adha kwa wananchi hawa"Amesema Mkuu wa MkoaAkijibu Moja ya swali ambalo liliulizwa katika  vijiji vingi Mratibu Miradi ya REA Wilaya ya Ikungi Lucy Darabe amesema kuwa Wakala wa Nishati ya Umeme Vijijini (REA) unatekeleza mradi  katika vijiji  57  Wilaya ya Ikungi sawa na Km 454.21 za msongo wa kati na Km 162.43 za msongo mdogo,ambapo vijiji 41 vimewashiwa Umeme na wananchi wanaendelea kutumia nishati ya Umeme wateja wapya wanaendelea kuunganishiwa Umeme kufikia Tarehe 30 ya mwezi Desemba 2023 vijiji vyote vilivyosalia vitakua vimewaka umeme kama maagizo ya Mkuu wa Mkoa yalivyo.Baadhi ya Miradi iliyotembelewa katika Ziara ya Mkuu wa Mkoa ni pamoja na Ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari Iyumbu,Ujenzi wa Vyoo,Mradi wa Maji Iyumbu,Ujenzi wa Kituo cha Polisi Magungumka,Kuzungumza na Wavuvi waliopata majanga ya Moto kambi ya Ufana,kutembelea zahanati na kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua papo hapo na zingine kuzibeba kwa ajili ya utekelezaji MWISHOImetolewa na;Afisa Habari Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi16/11/202

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa