• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Ziara ya Tarafa ya Sepuka yaibuka na TASAF

Posted on: March 15th, 2024

Baadhi ya wananchi wa Tarafa ya Sepuka Wilaya ya Ikungi mkoani Singida walalamika juu ya ucheleweshaji wa fedha  za TASAF kwani wananchi wenye hali ngumu kimaisha wamekuwa wakitambuliwa na kufanya kazi kwa mujibu wa taratibu za TASAF kama vile kuchonga barabara, kuchimba mabwawa na shughuli zingine ili waweze kulipwa fedha hizo lakini imekuwa tofauti na matarajio yao.Hayo yamesemwa hii leo tarehe 15 Machi 2024 katika mwendelezo wa ziara ya Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi mtendaji pamoja na wakuu wa idara na vitengo  katika kila Tarafa zilizopo wilayani Ikungi ambapo wananchi hao wamelalamika na kusema wamechimba bwawa kwa muda lakini wakati wa malipo ya TASAF hawatambuliki na wengine kutokulipwa kwa kipindi kirefu hali inayopelekea wananchi kuwa na sintofahamu juu ya tatizo hilo.Mratibu wa Mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Kaweso ametolea ufafanuzi wa jambo hilo kuwa taarifa za waliofanya kazi kwa siku 20 kati ya Siku 60 mwaka huu katika Tarafa ya Sepuka zilipokelewa Halmashauri ya Ikungi na kujazwa kwenye mfumo na baadae kutumwa makao makuu kwa ajili ya malipo mapya pale dirisha la malipo hayo litakapo funguka hivyo ni vyema kuwa watulivu mpaka pale malipo hayo yatakapofunguka kwani hayawezi kuchukua mda mrefu kuanzia sasa."Sambamba na hilo TASAF inafanya malipo kulingana na juhudi za kaya  kuhudhuria na kufanya kazi katika miradi ya nguvu kazi iliyoibuliwa na vijiji kwa mujibu wa utaratibu" amefanua Mratibu huyoMkutano huo wa kusikiliza kero za wananchi ulihudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Thomas Apson ambapo kero iliyozungumzwa zaidi ni pamoja na migogoro ya Ardhi ambapo amemuagiza Afisa Ardhi Halmashauri ya Ikungi Bwana Ambrose Ngonyani kutengeneza mpango wa upimaji wa maeneo ya Tarafa ya Sepuka ili wamiliki kuwa na hati za umiliki wa Ardhi zao kuepusha migogoro inayoendelea.Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi katika kikao cha ndani mara baada ya kusikiliza kero za watumishi amewaomba watumishi wanaodai stahiki zao mbalimbali kuwa wavumilivu kwani tayari pesa zao zimeingia kwenye akaunti za Elimu Msingi na Sekondari tayari kwa kuanza kufanya malipo

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa