Posted on: December 1st, 2022
Mkuu wa wilaya ya ikungi Mhe. Jerry C. Muro amezindua zoezi la chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa hatari wa kupooza (POLIO) linalolenga kutoa chanjo kwa watoto 97, 575 katika wilaya ya Ikungi
...
Posted on: November 28th, 2022
Wananchi kata Ntuntu wilaya ya Ikungi Mkoa wa Singida wameishukuru serikali kwa kuwajengea kituo cha afya kitakachowasaidia wananchi hao kuifikia huduma kwa urahisi...
Kituo hicho cha afya...
Posted on: November 21st, 2022
Halmashauri ya wilaya ya Ikungi imetembelewa na Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya ya Msalala Ndg Charles Edward Fussi pamoja na wakuu wa idara wa wilaya hiyo.
Msafara huo umeratibiwa na DAICO wakiambat...