Posted on: July 3rd, 2025
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Ndg. Kastori Msigala, amekutana na watendaji wa kata na vijiji kwa lengo la kufahamiana nao na kuweka mikakati ya pamoja ya utendaji kazi.
Ak...
Posted on: June 22nd, 2025
Naibu waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amewataka wachimbaji wadogo wa madini kuijua Sheria ya Madini sura namba 123 na Kanuni ili kuondokana na migogoro sehemu za uchimbaji madini ambayo hupelekea...
Posted on: June 20th, 2025
Katika kikao cha kawaida cha wafanyabiashara Wilaya ya Ikungi cha kujadili maswala mbalimbali ya kibiashara Mkuu wa Wilaya Mhe. Thomas Apson amesema kuwa kuna umuhimu wa kutoa mikopo hasa kwa wajasiri...