Posted on: July 11th, 2023
Mkazi wa kijiji cha Mtavira Bwana Sambali Ngelela ametoa ekari kumi na mbili kwaajili ya ujenzi wa shule ya msingi mpya Ituru.
Katika ziara ya mwenyekiti wa CCM mkoa wa S...
Posted on: June 20th, 2023
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi anawatangazia wananchi wote nchini Tanzania kuwa kutakuwa na mnada wa hadhara wa kuuza magari chakavu manne (04) Tarehe 05/07/2023 kati...
Posted on: June 22nd, 2023
Leo 22juni 2023 NMB banki imetoa madawati 100 kwaajili ya wanafunzi wa shule moja wapo ya wilaya ya ikungi,wadau hao wamesema kuwa baada ya kupata faida ya mwaka mzima wameona watoe madawati hay...